Kama hayo ndio ya kuzingatia embu tueleze kwanini wake wa ma boss wengi wanaliwa na walinzina ma house boy ambao wananuka jasho nakuvalia viatu vya buku miatano vya karume na perfume hata hawaijui , non of those things work.
Mimi nna ndugu zangu wa kishua hadi wanaolewa wazazi wao wamesimamia shoo na mtoto kapewa gari na familia yake ikawasaidie kwenye usafiri, jamaa aliwini kumwoa mtoto wa kike, afu hakuwa na mbwembwe wala nini, mkewe kwanza yupo simpo hana makeke km ya hawa Classy bi**hesDem wa kishua unaweza simamia shoo hata ya 200k, lkn kesho ukamwambia nikopeshe 500k akakupa na hiyo ndo ntolee.
Sio hawa kupee
Asee hizo gharama siwez kumfanyia mtu mmoja, aende zake huko, mi najua yule Real Woman ndo atakula manono ya nchi hadi siku anazeeka na kufa, hao expensive, classy wataendelea kutafunwa km bigijii mwisho wa siku wanachuja wanaisha mimi huyu wangu atabaki anatamba na familia yake wala hana stresa. [emoji23][emoji23][emoji23]
Guys....?!Haha guys ongeeni ukweli...
Wanawake hampendi gentle, simple and expensive man?
achana na mambo ya pesa hayo ni baadae...
Mkuu...dahMkuu..
Kama kuna mdogo wako huki muokoe na hii ferry ya classy women...
Ngoma inazama kama mv nyerere hii [emoji3][emoji3]
Nilitaka nimqoute mtu mwingine wa juu sijui ikatokeaje hivyo.Guys....?!
Usikariri maisha hivyo vitu nilivyoweka hapo anamudu mtu wa middle income tuu ya matajiri na hela ndefu sijaweka!! Kama ur boy can’t afford the mentioned items mko lower income class!
Hata ulaya yapoo.
Wewe hujitambui kabisa, hata "signature" yako inakusuta kutokana na huu upupu ulioandika kwenye hii thread yako.Wewe ndio nonsense na jobless!! Ktk thread zote za maana umeona upoteze muda kwenye nonsense!! Kula dagaa kajambe mbele
WordMkuu,
Dem classic wa kibongo huyo sio masikini, ana hela na kwao wanajiweza.
Dem classic sio njaa kali,
Of course, dem classic atakupendea jinsi unavyojiweka na sio kuwa kupee
Aisee...nilijua tu hii thread will take a wrong turn.Wewe ndio nonsense na jobless!! Ktk thread zote za maana umeona upoteze muda kwenye nonsense!! Kula dagaa kajambe mbele
Heeee slow down man, first of all I’m past age ya kuwa na “boy”
Second, Any dumb person will take your advice. Mwenye akili timamu na malengo atakuachia upupu wako mwenyewe. Just because ulienda NY ukapulizia perfume ya $30 ukapewa attention na some so called “classy” gold diggers haimaanishi ndo kila mtu can fall in to your crap, . Pulizzzz some of us are too old for this ridiculous type of eye-catching from a man[emoji1304]
Siwezi kujikweza wala kujishusha kwa ajili ya mwanamke aliyezaliwa na mwanamke, mwanamke nikiongea naye dk 5 tu najua anaishia wapi, so hata sina haja ya kujikweza, na pia huyo classy anajiona classy kwasababu mwanaume amemruhusu kuwa classy, so i dictate the terms, i dont follow trends.Hiyo ni general mkuu!! Ukiwa hivyo ktk maisha yako itapendeza!!
Atleast some lady worth a class! Nice.Heeee slow down man, first of all I’m past age ya kuwa na “boy”
Second, Any dumb person will take your advice. Mwenye akili timamu na malengo atakuachia upupu wako mwenyewe. Just because ulienda NY ukapulizia perfume ya $30 ukapewa attention na some so called “classy” gold diggers haimaanishi ndo kila mtu can fall in to your crap, . Pulizzzz some of us are too old for this ridiculous type of eye-catching from a man[emoji1304]