Kijana fanya haya kumnasa mwanamke yeyote classy!

What a waste!! Hizi ndo generalizations zenu losers!! Nani kakwambia nalipa kodi? Teh teh teh no wonder mnachagua vichaa!!
 
Nakuja kupata mtt classy wa kuoa kumbe haya, jenga kwanza kijana then anzisha familia, starehe hazina mwisho, ujana maji ya moto [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
What if kama amejenga?
 
Vijana wengi wanazani mwanamke ambaye anajiheshimu atamtongoza kwa siku moja na akakubaliwa au wanazani wanawake wanaangalia sana mavazi au unanikiaje! Akipata na kigari anaona kamaliza ni kutongoza tu videmu mtaani.
 
RRONDO inamaana unafuatilia comments syllable after vowel ili nikosee tu! nimeacha kukument hapa.
Ha ha ha nimekuwa attracted na jinsi ulivyo deep...sikujua kama class ipo hadi kwenye kutembea! Watimua vumbi hawahusiki hapa
 
Smart na kichwani, uwe unazungumza maneno yaliyopangiliwa na mazuri yaendane na namna ulivyovaa. Uwe na upeo flani hivi smart

Kama haupo smart kwenye mazungumzo ni rahisi kukujua na kukusoma kirahisi tu kwamba wewe ni 'fake'
 
Usawa huu huu wa Magu watu wanaishi kama malaika mkuu... ni kurasa tu zinabadilika!!
Wachache mkuu ndio wanaishi hivyo ila wengi nanga inapaa maana biashara nyingi haziendi,wafanyakazi wengi wamepunguzwa kazi na hata walioko makazini safari,perdiem,semina warsha ,makongamano hakuna hivyo hata masotojo na umateumate umepungua.
 
Vijana wengi wanazani mwanamke ambaye anajiheshimu atamtongoza kwa siku moja na akakubaliwa au wanazani wanawake wanaangalia sana mavazi au unanikiaje! Akipata na kigari anaona kamaliza ni kutongoza tu videmu mtaani.
Wapo wanaotongozwa na kupatikana siku moja,wapo wanaoangalia magari,mavazi etc. Wanawake kama binadamu wanatifautiana.
 
Wachache mkuu ndio wanaishi hivyo ila wengi nanga inapaa maana biashara nyingi haziendi,wafanyakazi wengi wamepunguzwa kazi na hata walioko makazini safari,perdiem,semina warsha ,makongamano hakuna hivyo hata masotojo na umateumate umepungua.
Ni kweli mkuu but still wapo wanao afford.
 
Hao wanaasili ya umalaya, ukimtongoza mwanamke akakubali ndani ya siku 1 wakati hamfahamiani huyo gonga na kumuacha hana maana na mtakuwa wengi kawapanga
Wapo wanaotongozwa na kupatikana siku moja,wapo wanaoangalia magari,mavazi etc. Wanawake kama binadamu wanatifautiana.
 
Wanawake wa mbagala hawataki hayo
 
Hao wanaasili ya umalaya, ukimtongoza mwanamke akakubali ndani ya siku 1 wakati hamfahamiani huyo gonga na kumuacha hana maana na mtakuwa wengi kawapanga
Unaonekana uko limited sana ktk exposure that's why nilikuita mzee wa shamba!
 
Ni kweli mkuu but still wapo wanao afford.
Yap hawakosekani wala bata hata nchi ikifirisika mkuu ndio maana kina GINIMBI wametusua huko ZIMBABWE pamoja na nchi hiyo kuyumba kiuchumi,daily GINIMBI ananua Rolls Royce Brand New.
 
Unakuta huyo demu unayemtega kwa perfume za bei anakuchora tu siku akikutambulisha kwa rafiki yake mfanya biashara anamashamba na nyumba huko mikoani unaanza kujihisi na wewe ni demu kama demu wako mbele ya mwanaume , ma brother men wanashida sana , inabidi tuwaweke kwenye maombi , watu kama hawa ndio wanakataa kazi ya pesa ndefu anajibana na kamshaara cha kulipa madeni , kisa kazi hiyo mbele ya jamii unaonekana sio msomi au classic
 
Yap hawakosekani wala bata hata nchi ikifirisika mkuu ndio maana kina GINIMBI wametusua huko ZIMBABWE pamoja na nchi hiyo kuyumba kiuchumi,daily GINIMBI ananua Rolls Royce Brand New.
Halafu humu watu wanakuja na conclusions ooh sijui kina fulani wasingekua matajiri kwa akili yao wanafikiri akina GINIMBI wanaishi maisha kama yao!!
 
Unaonekana uko limited sana ktk exposure that's why nilikuita mzee wa shamba!
Niko mjini kitambo sana, we unaonekana umezoea kutongoza wanawake ambao wapo kibiashara, au unakastatus fulani kanako watingisha wanawake wanaokufahamu mtaani, Ila kama wewe ni mtu wa viwango huwezi kumtokea demu siku 1 akakubalia hata kama awe anaugwadu akikubali huyo muogope sana
 
Watu wa mjini reasoning zao zinajulikana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…