Gien Banks
JF-Expert Member
- Sep 10, 2018
- 336
- 887
Unaonekana hunaga paparaa....
Hahahaha kwann umesema hivyo ??
Unajua nn Joh...haya maisha ni yakutumia sana akili nyingi sanaa kuliko nguvu.
Wewe google kila kitu about “ Leverage “
Utaja jifunza mambo mazito sanaa na at some point utaona anything is possible.
Mzee wangu ni big tym trader ila ni wale wachagga wanakulea kibabe sanaa...nikatafuta a way i cud eat leveraging from his capital.