Kijana, hii ndiyo siri bora kabisa ya kuwa tajiri, kafara yake haina madhara

Sawa naona maneno Mengi
Sio Bwana Google.

Watu tupo exposed na vitu vikubwa more than u can imagine. Unajua my ID kwann najiita last name yangu “ Banks “ ?? Unadhani Show Off

Imagine that feeling of making $ 15 Grand in ur mid 20’s

Shaur Lako Mjini Hapa.
 
Sifa mojawapo ya maskini ni kuwa mchawi,,,maskini ndo wachawi ndo waizi ndo watenda dhambi wakubwa,,,,pigana kufa kupona usiwe maskini.
 
Big up Chief...poertymentality ni mbaya sana...sijui nani anadanganya jamii kwamba umasikini ndo kipimo cha udilifu....vipi hiyo 100M bado ipo
 
Sio Bwana Google.

Watu tupo exposed na vitu vikubwa more than u can imagine. Unajua my ID kwann najiita last name yangu “ Banks “ ?? Unadhani Show Off

Imagine that feeling of making $ 15 Grand in ur mid 20’s

Shaur Lako Mjini Hapa.
Real inspired brother .
Kuna kipindi ulikuwa unaulizia vitu fulani kuhusu Car wash .vipi ulifanikiwa kuanza boss.?
 
Hahahaha ndio ngozi nyeusi zilivyo!nna rafki yangu mcanada aliniambia mtu mweusi hawezi kamwe kuwa na roho nyeupe.
Anyways ingawa sio wote wako hivyo lakini katika maisha tumejijengea wivu usio na tija.ukifanikiwa wale washkaji au ndugu zako wataongea au kukukashifu kwamba umefanikiwa unawatenga!khaa kuanzia lini au wapi waliona mwenye pesa anakaa na maskini?!mawazo yenu ni negative ushauri hamna wa maana zaidi ya kuongelea watu shiiiit!
Wao hawajui hadi hapo ulipofika how many times u been fucked
 
Real inspired brother .
Kuna kipindi ulikuwa unaulizia vitu fulani kuhusu Car wash .vipi ulifanikiwa kuanza boss.?

Kuna eneo nilipata maeneo ya sinza na kazi ndio imeanza juzi juzi hapa...ila bado haijachanganya...huu mwezi wa pili sasa.

Bado nataka raia humu tushauriane jinsi ya ku keep clients and customer service et al.
 
Kuna eneo nilipata maeneo ya sinza na kazi ndio imeanza juzi juzi hapa...ila bado haijachanganya...huu mwezi wa pili sasa.

Bado nataka raia humu tushauriane jinsi ya ku keep clients and customer service et al.
Kila la kheri Mkuu..
Na mimi nikiwa vizuri nitakutafuta nipate mawazo kidogo kuhusu Car wash.
 
Hahahaha noma sana mkuu, hebu mwaga mbinu ulizotumia kutumia his leverage while mzee ni mkoloni? Maana wazee wetu wa kiafrika wako hivyo, pesa wanayo ila wanatumia kwenye pombe na vimada wa nje, alafu nyie watu wake wa karibu mnabaki mnapambana na hali zenu
 

At some point this works more effectively kama mzazi wako akikupa mamlaka flani hivi kwenye biz zake au property yake.

Simply.

Nli rent kagoli town, nikachukua baadhi ya stock yake kama sample (ambayo sijachangia chochote) nikaenda weka kwenye goli langu...from mauzo nikawa na rejesha hela yake cha juu nachukua....

Well u need to do it in a way clients keep coming back. Hahaha

Sasa look around you and know what u have in excess / priviledged with and capitalise on it.
 
kuzimanage vp tupe mwanga
 
Nmekusoma mkuu.
You nailed it.
 
Nijifunze kutoka kwenu wakati mnawaonea maskini na wake zao mnakula. Ni Matajiri wachache wanaoplay fair huku mtaani, lakini asilimia kubwa ni maumivu tu. Mtu anapesa kidogo anataka abudiwe kama Mungu, ndio maana hamuwezi kupenya kwenye Tundu la Sindano.
 
ILI UWE TAJIRI
Kafara unayotakiwa kuitoa ni moja. Ua kiburi, jeuri na ujuvi. Hivyo vitu vipo kwenye mwili mmoja ila ni viungo mbalimbali.
Jifunze toka kwetu. Badala ya kukaa majukwaa ya umbea na kufundishana styles za mapenzi kaa na watu wenye chakula ya Ubongo.
Nukuu bora ya siku.

Ahsante mleta mada kutukumbusha hili.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…