Kijana hivi unaanzaje kutongoza Sister "Mtawa wa Kike" huogopi?

Kijana hivi unaanzaje kutongoza Sister "Mtawa wa Kike" huogopi?

Kuna jamaa yangu alikuwaga anamla Sister mmoja alikuwa mkuu wa nursery school ya watoto wake Ukonga, Sister alikuwa bomba huyo, siku ya kumla Sister alikuwa anadanganya anaenda head office kumbe jamaa anaenda kummaliza. Mie mwenyewe nilipomuona mate yalinitoka.
Mmmmhh hii chumvi
 
Na kilemba chake anakiacha wapi ?
Huwa havui chochote maana home kwangu nimezungusha ukuta na kuna geti , halafu kupo issolated kidogo na makazi ya watu .

Moto wake hatari mkuu wacha tu hawa watu ni watamu , halafu wakifuatiwa na wasichana wabich kisha ma tom boy .

Maana wooote hao wanavitunza.
 
Nishawahi Ishi Hio mitaa nilikuwa nikitoka pori la longido kufanya uwindaji Haramu napanda naelekea pale kuna toto la kimbulu ndo nilikuwa napumzka asubuh naweza kaa wiki naenda twn so nilikuwa nawaona MA sister wakali Sana na ukijitahid kutongoza ukosi pale

Hata dogo nilikuwa nawinda nae niliemuajiri alikuwa ni mwanafunz wa hapo uboyizini anatoroka shule tunakutana nae kweny Noah ni mwendoj


Kweli ujana maji ya moto nikikumbuka nacheka Sana
Respect sana mkuu 😀 , saivi ndo umetulia na bi mkubwa sasa.

Au huwa unapaembelea?
 
ILI KUJUA KWELI AMEKULA KIAPO INABIDI UMTONGOZE AKIKATAA UTAJUA HUYO NI MTAWA KWELI MBONA WAKE ZETU WANAGONGWA ILI HALI WALIKULA KIAPO KANISANI CHA MUME MMOJA MPAKA KUFA NA KAMA KUNA WANAWAKE DUNIANI WEPESI KUPATIKANA KWANGU NI MASISTA NITASHINDWA KOTE ILA SIYO HAO WAIGIZAJI .
 
Connection zenyewe hamtoi ... Msiongee na mimi
 
[emoji23][emoji23][emoji23] naona we ni mwenyeji yale maeneo usingejua kuwa kipo karibu na uboizoni.

Mkuu pale nilvua kofia daadeki ukicheki mizigo waliyopaki na zile rangi unaweza kuwa chizi.
Uwe unatoa na connection Basi huko motoni unataka ukachomwe peke yako,,? Wengine tupo hapa tunataka tukusupport tukachomwe wote ... Naku pm mwanangu unipe connection 😋😋😁
 
Umenkumbusha uzi wa kula tunda kimasihara, kuna mwamba alikula mtawa kiboya sana.
 
Unaanzaje kwa mfano?

Kuna kijana wa Chuo anagegeda "mtawa" na hili nimejihakikishia mwenyewe, sasa najiuliza vijana hamuogopi?

Hamuoni kama mnawapa dhambi?

Ni kweli masister wa sasahivi ni wadogo halafu ni "pisi kali" hasa hapo RuCu, labda mnaingia vishawishi vya kuwatongoza huko kwenye discussion za magroup.

Ila jaribuni kujizuia.
Tena wale hua wanahuruma ya roho mtakatifu hata hawajui kuzungusha wala kupiga vizinga
 
Back
Top Bottom