Kijana hivi unaanzaje kutongoza Sister "Mtawa wa Kike" huogopi?

Kijana hivi unaanzaje kutongoza Sister "Mtawa wa Kike" huogopi?

Unaanzaje kwa mfano?

Kuna kijana wa Chuo anagegeda "mtawa" na hili nimejihakikishia mwenyewe, sasa najiuliza vijana hamuogopi?

Hamuoni kama mnawapa dhambi?

Ni kweli masister wa sasahivi ni wadogo halafu ni "pisi kali" hasa hapo RuCu, labda mnaingia vishawishi vya kuwatongoza huko kwenye discussion za magroup.

Ila jaribuni kujizuia.
Unirehemu Ee Mungu...🙏
Kwa jinsi ulivyo mwema....😔
Rehema zako zilivyo kuu, ufute makosa yangu mimi Ushimen himself...🥃
Unioshee kabisa hatia yangu na unitakasie dhambi zangu.....😓
Amen...🙏
 
Msijidanganye wakuu , kuna sister mmoja kila mwezi huwa anakuja kunitembelea na kwenye pochi anakuwa na P2 pamoja na vipimo vya ukimwi basi tunashinda karibia wiki nzima ni kunyooshana tena ana joto haswaaaaaaa.

Akimaliza anarudi zake kwa watawa wenzake simple as that hapa ninavyooandika ameondoka juzi tu .

Ninachotaka kusema ni kwamba , msijihadae eti kwamba masister ndo huwa hawakamuliwi sjui nini? Hizo ni sheria tu alizoweka binadamu na zinavunjika kirahisi kama hivyo.

Kuliwa wanaliwa kirahisi tu and yes now nawinda wengine wa hapo karatu.
Ulimpataje
 
Umenikumbusha Mabibo Hostel kipindi hicho jamaa kampokea sister kutoka Tabora kamzungusha kwenye lodge moja kamlomba siku kama 3 hivi, nilipondeka moyo sana
 
Unaanzaje kwa mfano?

Kuna kijana wa Chuo anagegeda "mtawa" na hili nimejihakikishia mwenyewe, sasa najiuliza vijana hamuogopi?

Hamuoni kama mnawapa dhambi?

Ni kweli masister wa sasahivi ni wadogo halafu ni "pisi kali" hasa hapo RuCu, labda mnaingia vishawishi vya kuwatongoza huko kwenye discussion za magroup.

Ila jaribuni kujizuia.
Better to try than to regret for not trying, they are human being with LIBIDO as other do.
They are c
just are eunuch by being forced, let them enjoy life as others do!
 
Dah kuna mmoja nilimkosa ndanda mission

Aloo
 
Umenikumbusha Mabibo Hostel kipindi hicho jamaa kampokea sister kutoka Tabora kamzungusha kwenye lodge moja kamlomba siku kama 3 hivi, nilipondeka moyo sanmk
Naona umetumia kimakonde ambayo moderate hajui
🥴😁😁
Kumlomba😃😃
 
Back
Top Bottom