Kijana hivi viwe vipaumbele vyako kwa mwaka 2025

Kijana hivi viwe vipaumbele vyako kwa mwaka 2025

Mwaka wa kuoa rafiki angu anasema MKE kamshikia kisu na kuchoma begi la nguo anataka waachane baada ya kuzaa nae watoto wanne...namkumbuka hand someboy enzi hizo bidada anaforce aolewe....akaanza familia mapemaaa hata hakufaidi ujana...hapa Sasa anatakiwa afurahie kukuza watoto...demu anamchania mkeka kisa bodaboda...fully stress
Inategemea unamuoa nani
 
Kuchagua🤣🤣🤣Unaishi Tz kweli? Uchague usichague anapita alopangwa.
 
Back
Top Bottom