Uchaguzi 2020 Kijana Ibzan Michael (24) atia nia Ubunge jimbo la Arusha Mjini kupitia CCM

Arusha kumtoa Lema nisawa nakupta PhD ya Magufuli
endelea kuota ..hata wana arusha ukiwauliza sasa lema ni nani utaishia kutukanwa tu, si vijana bodaboda si nani, wote hawamtaki,,arusha inarudi ccm kwa kishindo kizito
 
Kwa umri huu anagombea CCM?? Akiwa Mzee llazima atakua mchawi
 
Lema mwenyewe kwenye chujio la Chama hapiti. Kwa Mromboo wamegoma
 
Hivi fomu ni Tsh ngapi? Mwenye kujua
Fomu TZS Laki 1 tu ili kupunguza ushindani unaweza kuandaa Milioni 3 ukagawa kwa vijana wasiojielewa wakajichukulie fomu ili kamati iwaone sio mtu mzima unapita kwa kunyata
 
Sasa kila Mwananchi anataka kuwa Mbunge ili kuwatumikia Wananchi.

Inaonekana hakuna anayeitaka taabu ya kubaki kama Mwananchi na kutumikiwa....kuna kila dalili kuwa ki siasa kutumikia ni neema kuliko kutumikiwa.
Watia nia wamekuwa wengi nadhani kuliko hata wapiga kura
 
Mwaka huu wagombea wengi kuliko wapiga kura
 
umri huo alafu HAJAOA, KICHWANI HANA LOLOTE...zaidi akizeeka atakuwa mchawi si bure huyo
 
Kila la kheri kwake kam atawez kuptishwa maan asilimia kubw maendleo uletwa na vijana na wazee kam yao zaid ni kuptisha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…