Kijana jitunze, kuteremkia miaka 40+ kuna zimwi linaitwa Kisukari na Presha. Mkeo atakuvumilia?

Nawaza hao wa kahama utashangaa nao walijibana PAPUCHI Kwa miez 6 kesho ilitakiwa ndo waanze kula mbususu...daa ๐Ÿ˜”....Tunakufa kilasiku Taikon but asante sana Kwa elimu๐Ÿ™

๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Ndio maisha Mkuu!

Usijibane Sana na wala usijiachie Sana.

Nashukuru Sana Mkuu
 
Kwema Wakuu!

Hatufuatiliani wala hatupangiani maisha. Ila tunakumbushana huku nami nikijikumbusha pia Kwa Nia nzuri tuu. Ili baadaye tusijekujikuta katika Huzuni kuu.
Haya yote kwanza kabisa maisha yawe settled halafu mpaka maisha kuwa settle ni kuanzia 40+ halafu hiyo 40+ ambayo maisha yanaanza kuwa settled ndo hayo malazi yanaanza kukuandama.. katika maisha kikubwa uhai tu
 
Angalizo jingine kwa wanaume:
Mwanamke mwenye umri kuanzia 45 hadi 55 au 60 wenye afya na nguvu wanakuwa na ashiki kubwa sana ya kuingiliwa kimwili.

Sasa ambao wameoa na wake zao hawana stress kwenye umri huo watatoa ushahidi.

Ambao mko njiani kuelekea umri huo, get ready.

Na mwanamke akikoswa kukazwa vizuri, (labda awe mcha Mungu sana).

Atatafuta tuu wa kumkaza, Watch Out...๐Ÿ‘€.
 

Wengi hawatakuelewa, Ila hili nililifanyia utafiti nikabaini ni moja ya sababu ya ndoa nyingi kuvunjika siku hizi.

Unakuta mume 48yrs ana kisukari au presha, mke 43yrs ndio Kwanza Mafuta ya Mwili yanataka kupashwa Moto halafu mume uwezo Hana. Hapo ndipo kilio Kwa wanaume tunakipata. Automatic unaona Mkeo/wamama wajeuri kumbe hawatimiziwi haja.

Mwanamke kikawaida hawezi kumvumilia mwanaume asiyemfikisha hata angekuwa Tajiri Kama Elon musk.

Vijana tunapaswa kujipanga Kwa Mengi.
 
Haya yote kwanza kabisa maisha yawe settled alafu mpaka maisha kuwa settle ni kuanzia 40+ alafu iyo 40+ ambayo maisha yanaanza kuwa settled ndo hayo malazi yanaanza kukuandama.. katika maisha kikubwa uhai tu

Baada ya Uhai kuna kitu inaitwa Afya.
Ogopa kuwa hai pasipo Afya utajuta kuzaliwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ