Kijana jitunze, kuteremkia miaka 40+ kuna zimwi linaitwa Kisukari na Presha. Mkeo atakuvumilia?

Kijana jitunze, kuteremkia miaka 40+ kuna zimwi linaitwa Kisukari na Presha. Mkeo atakuvumilia?

Ukichapiwa Ukiwa na nguvu za kiume inauma,

Ila ukichapiwa huku ukitambua shida ni wewe kutomridhisha mke inauma zaidi

Na hauna uwezo wa kumfukuza na kumkemea hapo ndio shida huwa kubwa zaidi.
Yaani utakuwa unamnyenyekea Kama mungu mtu.
Kiburi na jeuri ya kiume yote hutokuwa nayo.

Kumkomesha kwamba ulete chombo kipya(uoe tena) huwezi kwani unaogopa aibu yako kujulikana. Yaani tabu tupu
 
Ila mkuu unaongea kwa hisia sana! Kuna jamaa yangu ana mke bomba kweli kweli, sasa ana hiyo changamoto kweli mke amekuja kumfumania yuko na msela ameinamishwa! Mke huku nje analalamika mme ana kisukari shughuli hawezi tena sasa mimi ningefanyaje? Kazi kweli kweli!

Hapo mwanaume unakufa na mengi hasa Sonona na uchungu wa kuchapiwa.

Kuna mambo yasikie kwenye Luninga
 
Kisukari na Presha ni Silent Killers ni maradhi ambayo watu wanayo na wanatembea nayo wakizidiwa wanaenda kwa Waganga wa kienyeji na wanaambiwa kuwa wamelogwa na wenzi wao au wazazi wao.

Kinachofuatia ni Stroke au Kiharusi hapo ndio wanaambiwa kuwa ni mapepo mabaya yaliyotumwa na fulani

Wakati ni tembe tatu tu asubuhi zingeepusha yote hayo.
 
Kisukari na Presha ni Silent Killers ni maradhi ambayo watu wanayo na wanatembea nayo wakizidiwa wanaenda kwa Waganga wa kienyeji na wanaambiwa kuwa wamelogwa na wenzi wao au wazazi wao.

Kinachofuatia ni Stroke au Kiharusi hapo ndio wanaambiwa kuwa ni mapepo mabaya yaliyotumwa na fulani

Wakati ni tembe tatu tu asubuhi zingeepusha yote hayo.

Elimu duni kwenye jamii ndio husababisha hayo.

Imagine mtu anakuambia kisukari ni ugonjwa Wenye vipato, huoni hapo kuna shida.
 
Ndio unavyojidanganya😀😀

Wapo madaktari humu watakuona hamnazo ujue!
Wao ndio wanajua ninachokisema, na watu wenye umri Kati ya 40-100 ndio wanaelewa Kwa urahisi ninachokisema,

Na watu wenye wazazi wenye miaka 60-100 ndio wanajua kuwa kisukari ni ugonjwa wa masikini au wamatajiri au wawote.

Na wachache wenye upeo mkubwa wa kufikiri ndio wanaelewa niliyoandika
kifupi kama una kazi inayokutoa jasho kisukari utakisikia tu,kama ni mtu wa ofcn mazoezi ni muhimu sana kama ulivosema.
 
Angalizo jingine kwa wanaume:
Mwanamke mwenye umri kuanzia 45 hadi 55 au 60 wenye afya na nguvu wanakuwa na ashiki kubwa sana ya kuingiliwa kimwili.

Sasa ambao wameoa na wake zao hawana stress kwenye umri huo watatoa ushahidi.

Ambao mko njiani kuelekea umri huo, get ready.
Na mwanamke akikoswa kukazwa vizuri, (labda awe mcha Mungu sana).

Atatafuta tuu wa kumkaza, Watch Out...[emoji102].
Hiyo hata kwa mwanaume, haichagui. Tena kwa mwanaume ndiyo zaidi
 
Elimu duni kwenye jamii ndio husababisha hayo.

Imagine mtu anakuambia kisukari ni ugonjwa Wenye vipato, huoni hapo kuna shida.

Serikali kupitia asasi zake wangekuwa wanafanya awareness waweke maturubali kwenye maeneo mbalimbali ya Nchi watu wapimwe afya zao bure.

Watanzania tunakula sana chumvi kitu ambacho unakuta presha zetu ziko juu kila mara

Unakuta Wali unachumvi Mboga ina chumvi ukitumia na kachumbari ina chumvi hatari sana.
 
Serikali kupitia asasi zake wangekuwa wanafanya awareness waweke maturubali kwenye maeneo mbalimbali ya Nchi watu wapimwe afya zao bure.

Watanzania tunakula sana chumvi kitu ambacho unakuta presha zetu ziko juu kila mara

Unakuta Wali unachumvi Mboga ina chumvi ukitumia na kachumbari ina chumvi hatari sana.

😀😀
Serikali! Serikali!
Umesema kweli, Watu wengi wanapenda Sana ladha
 
Back
Top Bottom