Kijana kama huna kazi, fanya hivi utapata haraka

Kijana kama huna kazi, fanya hivi utapata haraka

APPROXIMATELY

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2021
Posts
2,035
Reaction score
2,715
Simama pale posta,kariakoo na maeneo yenye foleni kubwa ya magari na bango lako nakuhakikishia hii style itakupa kazi fasta kuliko kulala ndani na kusubiri ugali wa shikamoo,kuna kipindi ikifika kwenye maisha hakuna kuogopa Chochote zaidi ya kujitoa tu
hand-holding-need-a-job-placard-unemployed-person-vector-8485040.jpg
 
Simama pale posta,kariakoo na maeneo yenye foleni kubwa ya magari na bango lako nakuhakikishia hii style itakupa kazi fasta kuliko kulala ndani na kusubiri ugali wa shikamoo,kuna kipindi ikifika kwenye maisha hakuna kuogopa Chochote zaidi ya kujitoa tuView attachment 2372875
mkuu ayo mambo usifanye pale posta utapigw picha alf utaonekana kichekesho ... utageuzwa meme mitandaoni
 
Back
Top Bottom