APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,715
Daah Huna kaziKichwa cha habari kwanza. Ulimaanisha "huna kazi" au ndio hivo hivo "unakazi"?
mkuu ayo mambo usifanye pale posta utapigw picha alf utaonekana kichekesho ... utageuzwa meme mitandaoniSimama pale posta,kariakoo na maeneo yenye foleni kubwa ya magari na bango lako nakuhakikishia hii style itakupa kazi fasta kuliko kulala ndani na kusubiri ugali wa shikamoo,kuna kipindi ikifika kwenye maisha hakuna kuogopa Chochote zaidi ya kujitoa tuView attachment 2372875
π wapi sasa ndugumkuu ayo mambo usifanye pale posta utapigw picha alf utaonekana kichekesho ... utageuzwa meme mam
Sasa tukafanyie wapi π π nishajipanga j3 nianzemkuu ayo mambo usifanye pale posta utapigw picha alf utaonekana kichekesho ... utageuzwa meme mitandaoni
Mzee usiogope kupigwa pichaSasa tukafanyie wapi π π nishajipanga j3 nianze
Ngoja niandae bango langu π π π ile ya door to door naistopisha kwanzaMzee usiogope kupigwa picha
mambo ayo wanafanya watu wa nchi zenye uchumi mkubwa km Qatar ... watu watakuonea huruma lkn sio tzπ wapi sasa ndugu
Ulipanga upite door to door,daah wengine wasingekufungulia mlango wangejua ombaombaNgoja niandae bango langu π π π ile ya door to door naistopisha kwanza
Hii nchii hii sihami kabisaπππππWazo zuri wakuu jaribuni kuliko kuendelea na kazi za kutombanisha mijusi magetoni.
Ndiyo inafanya kazisema bongo hakuna vijana wanaojilipuaInafanya kazi 100% kama yule mwanamke aliyebebaga bango la kutafuta mume wa kumuoa.
Mwishowe alipata.
#MaendeleoHayanaChama View attachment 2372927
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app