Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wa Dar watakushangaa kwa kauli hiiKulelewa Ni utumwa
Dogo wa Open Jiko katoka nduki pamoja na kumiliki Noah ya Caterer.Vijana wa Dar watakushangaa kwa kauli hii
Ndio maana vijana wa siku hizi wanababuka midomo maana wanavyodekishwa bahari yenye chumvi kali kuliko ya india kutwa mara saba yote kupenda vya bure mxiuuuuuu
YANI ANAMAMBIA MUNGU ULIKOSEA MM NILITAKIWA KUWA KE.Mwanamume yeyote anayelelewa na mwanamke ilhali yu mzima wa afya ukimchunguza kwa makini lazima atakuwa na viashiria vya kishoga kwa kuwa hayo si miongoni mwa matendo ya mwanamume rijali anaye elewa nini maana yeye kuwa mwanamume.......
Ndio maana vijana wa siku hizi wanababuka midomo maana wanavyodekishwa bahari yenye chumvi kali kuliko ya india kutwa mara saba yote kupenda vya bure mxiuuuuuu
Hahaaaa, daahNdio maana vijana wa siku hizi wanababuka midomo maana wanavyodekishwa bahari yenye chumvi kali kuliko ya india kutwa mara saba yote kupenda vya bure mxiuuuuuu
La muhimu upate sehemu ya kupunguza ashq mengine potezeaKinamama ni hatari sana kwa maneno. ukiwa mtu wa kuhesabu maneno yao unaweza pata wazimu.
ShukraniVijana tufanye kazi halali.tuongeze kipato, tuwe Na uhuru Na pesa zetu. Si kutegemea pesa za masimango
Tena wapo wengi, unakuta ni mlevi mlevi tu mke anahangaiki familiaSio Dar tu yani mambo ni hayohayo hata mikoani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzi umefufuka, vibenten wameongezeka sana mtaani? Best wafanye bidii ili kibarua kisiote nyasi, nishashuhudia marioo mmoja mke kamwambia kazi yake ni hiyo tu kumrizisha tu, afanyi kazi yeyote, yeye ndiye anafanya kazi Baba ni bia tu na kumkuna mama.Ndio maana vijana wa siku hizi wanababuka midomo maana wanavyodekishwa bahari yenye chumvi kali kuliko ya india kutwa mara saba yote kupenda vya bure mxiuuuuuu
Halafu wanazeeka kuliko Baba zao ,maana wanatumika sanaAjira zimekuwa ngumu vijana wamejiongeza [emoji23][emoji23][emoji23]
mbavu zangu mie jaman loooohUwe makini there's a thin layer between 2 gates down there
ujinga mkubwa sana, kuna wanawake wanaendekeza ujinga huku mjini..kijiijini hawapo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzi umefufuka, vibenten wameongezeka sana mtaani? Best wafanye bidii ili kibarua kisiote nyasi, nishashuhudia marioo mmoja mke kamwambia kazi yake ni hiyo tu kumrizisha tu, afanyi kazi yeyote, yeye ndiye anafanya kazi Baba ni bia tu na kumkuna mama.
Aisee![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] uzi umefufuka, vibenten wameongezeka sana mtaani? Best wafanye bidii ili kibarua kisiote nyasi, nishashuhudia marioo mmoja mke kamwambia kazi yake ni hiyo tu kumrizisha tu, afanyi kazi yeyote, yeye ndiye anafanya kazi Baba ni bia tu na kumkuna mama.