TrueWacha vijana wa-enjoy Kama Ankali Shante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TrueWacha vijana wa-enjoy Kama Ankali Shante
Eeh kinyaa Tena?Asante. Kijana Kulelewa usiwe na kinyaa.
Hope wamekuelewakiukweli vijana tufanye kazi kwa bidii, mambo ya kutegemea wapenzi/wake zetu ndo haya ya kutukanwa/kusimangwa hadharani.
Ha ha ha kijana usiwe na Kinyaa kutembelea UvinzaEeh kinyaa Tena?
Siwezi kulelea mwanaume,So mtu achague kimoja sio?
OkaySiwezi kulelea mwanaume,
Cc. UchebeKulelewa inapaswa uwe na pumzi na usiwe mtu wa aibu maana hata ukitukanwa mbele ya kadamnasi unajichekesha tu
Sawa. Vipi Mama kubwa kasharudisha fomu viti maalumu?Wewe kama unajitoa ni wewe na nafsi yako.mtuwache tule mema ya nchi.
Nipe connection mkuu,life tightKulelewa raha wewe , tena umpate mama wa miaka Kama 55, 60 hivi nakuambia hutojuta yani kila utachotaka jibu ni Ye's tu na siku ukimkoleza zaid utaskia " Darling unatak zawad gan leo, hapo kidume ndo navimba bichwa sasa , n kutaja tu Haria new model ,, na kwa kuwa mkwanja upo utacheki kitu ichooooooo!!!! Hayo maisha nmeyaishi sana
Ha ha haaaaaChawa Enterprises
Umetoka nduki?Nadhani hata huo uvumilivu hautoshi, Mimi ni mvumilivu sana (inawezekana kuliko watu wote katika ukanda wa maziwa makuu) lakini nimeshindwa.
Hahahahaaaa... ndio mkuuUmetoka nduki?
Vijana wa mujini, wenyewe wanaita msingi kiuno, yaani unapata mwanamke mtu mzima kakuzimikia anaamua kukuchukua mkaishi wote kwake huku anagharamia bill zote ikiwemo kodi, umeme, maji, gharama za simu,nauli/mafuta & service ya gari n.k.
Lakini kwa namna wake zetu (nimeoa) walivyo na maneno ewe kijana nakushauri kama una roho nyepesi bora utafute pesa yako mwenyewe ili mtu asiwe anakusimanga (Kikinuka). Maana siku mmetibuana Bi. Mkubwa atatema "cheche" utukaniwe mpaka bibi yako (marehemu) aliyekufa kabla ya wewe kuzaliwa.
Yote haya ni ndani ya sekunde 60 tu. vijana tufanye kazi, tutafute vya kwetu.
UPDATE:
Hapo Zamani mambo haya hayakuwepo
cc. W-Si-Biii
Kulelewa Ni utumwaMkuu unachekesha sana, yaani kijana wa Dar aache kukaa kijiweni na kuongelea story za ubaharia eti akatafute kazi, achekwe? Mtu anaona bora ashikishwe ukuta ili apate hela kuliko kufanya kazi, vijana wengi wa Dar wanatafuta unafuu wa maisha tu, majuto baadaye.
Sio Dar tu yani mambo ni hayohayo hata mikoani.Mkuu unachekesha sana, yaani kijana wa Dar aache kukaa kijiweni na kuongelea story za ubaharia eti akatafute kazi, achekwe? Mtu anaona bora ashikishwe ukuta ili apate hela kuliko kufanya kazi, vijana wengi wa Dar wanatafuta unafuu wa maisha tu, majuto baadaye.