Kijana, Kulelewa na mwanamke uwe mvumilivu

Kijana, Kulelewa na mwanamke uwe mvumilivu

unanikumbusha siku za hapo nyuma like 4yrs back kuna mwana alikuwa anasukuma gari kali hatar sahizo mimi niko na Nissan March jamaa anasema jamaa msiendeshe facilitators baada ya kama mwaka na nusu akapotea kwanza mjin baadae anaibuka mjin anapanda boda boda tukaja ambiwa muwezeshaji alistuka anafuga kenge akamwaga aseee mbaya mno
Daah hii comment nairudia na kuirudia
 
Kulelewa raha wewe , tena umpate mama wa miaka Kama 55, 60 hivi nakuambia hutojuta yani kila utachotaka jibu ni Ye's tu na siku ukimkoleza zaid utaskia " Darling unatak zawad gan leo, hapo kidume ndo navimba bichwa sasa , n kutaja tu Haria new model ,, na kwa kuwa mkwanja upo utacheki kitu ichooooooo!!!! Hayo maisha nmeyaishi sana
Mpaka sasa hv una Harrier ngap New Model?
 
Back
Top Bottom