M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,199
- 8,186
Insta vijana wanaoa mashangazi zao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Cc: MariooozUwe makini there's a thin layer between 2 gates down there
Daah hii comment nairudia na kuirudiaunanikumbusha siku za hapo nyuma like 4yrs back kuna mwana alikuwa anasukuma gari kali hatar sahizo mimi niko na Nissan March jamaa anasema jamaa msiendeshe facilitators baada ya kama mwaka na nusu akapotea kwanza mjin baadae anaibuka mjin anapanda boda boda tukaja ambiwa muwezeshaji alistuka anafuga kenge akamwaga aseee mbaya mno
Pumzi muhimu mwenyewe natafuta Pumzi hapa kwa ajili ya mechi ya Weekend pale NamnaniMajimama yanataka pumzi. Wala chips zege mtaishia kwa VICHEI CHEI
Mpaka sasa hv una Harrier ngap New Model?Kulelewa raha wewe , tena umpate mama wa miaka Kama 55, 60 hivi nakuambia hutojuta yani kila utachotaka jibu ni Ye's tu na siku ukimkoleza zaid utaskia " Darling unatak zawad gan leo, hapo kidume ndo navimba bichwa sasa , n kutaja tu Haria new model ,, na kwa kuwa mkwanja upo utacheki kitu ichooooooo!!!! Hayo maisha nmeyaishi sana
Marioo IndustriesKulelewa si kazi rahis kama tunavyoaminishwa
Umenena mkuu, wabongo tunasifika sana nchi jirani kwa kulelewa na uganga wa kienyejiUkianza kuhesabu waliopata madhila hayo ya kutupiwa mifuko yao ya rambo baada ya mkataba kusitishwa ghafla humu wapo wengi tu. Vijana tufanye kazi
Ina kera sana na vijana wanajisahau sana hawajui kesho mfadhili ataamka na akili gani pana dogo kawekwa kinyumba mwisho wa siku akawa anamkoromea tajiri wakuchukua muda akafungashiwa vyake kesi ikaishaUmenena mkuu, wabongo tunasifika sana nchi jirani kwa kulelewa na uganga wa kienyeji
Weka pichaUkianza kuhesabu waliopata madhila hayo ya kutupiwa mifuko yao ya rambo baada ya mkataba kusitishwa ghafla humu wapo wengi tu. Vijana tufanye kazi