Kijana, Kulelewa na mwanamke uwe mvumilivu

Wapo wengi sana mjini hawa, hutumika kama dume mpira, mwisho wa siku hubakia kama ombaomba kero wanaosumbua vijana wanaopambana na maisha yao kwa nguvu zao.
 
teh teh teeeh!! na muolewe tu maana hamna namna.
 
Ndio maana vijana wa siku hizi wanababuka midomo maana wanavyodekishwa bahari yenye chumvi kali kuliko ya india kutwa mara saba yote kupenda vya bure mxiuuuuuu
Duuuh ngoja nami ntafute kidada nimpigie deki first class.....[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Vijana narudia tena lazima kufanya kazi tena kwa bidii ili kufanikiwa haya mambo ya kuishi kwa kusubiri bahati nasibu za taifa sijui voda sijui RED-GOLD tomato ni ndoto za alinacha. Lazima kuwekeza katika Elimu/Maarifa na kufanya kazi kupita kiwango ulichopangiwa/ulichojipangia.
 
Vijana tujitutumue na kazi. Masimango yanauma na kuudhi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…