Vipi Miss Bantu,je umeamka tayari?mkuu ngoja nilale nikiamka nitakuja kukuelewesha
hahaaaaaa unaona sasa najiandaa kulala nwVipi Miss Bantu,je umeamka tayari?
Basi nimekuwahi,sasa hebu nifumbue macho,maana Uvinza bado mwanafunzi.hahaaaaaa unaona sasa najiandaa kulala nw
Ndio maana vijana wa siku hizi wanababuka midomo maana wanavyodekishwa bahari yenye chumvi kali kuliko ya india kutwa mara saba yote kupenda vya bure mxiuuuuuu
Mic Na k ni sawa?
Duuuh ngoja nami ntafute kidada nimpigie deki first class.....[emoji1] [emoji1] [emoji1]Ndio maana vijana wa siku hizi wanababuka midomo maana wanavyodekishwa bahari yenye chumvi kali kuliko ya india kutwa mara saba yote kupenda vya bure mxiuuuuuu