Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
we unasema beberu? kambaleeeHela itafutwe kwa bidii zote aisee. Heshima pesa ndevu hata beberu anazo.
Hahaha...wanadekishwa bahari yenye chumvi kali sio?Ndio maana vijana wa siku hizi wanababuka midomo maana wanavyodekishwa bahari yenye chumvi kali kuliko ya india kutwa mara saba yote kupenda vya bure mxiuuuuuu