Kijana mchapakazi, mwanifu na mbunifu

Kijana mchapakazi, mwanifu na mbunifu

Congratulations young man. You'll soon get what you are looking for. Stay Sharp!👏🏽👏🏽👏🏽
 
nikipata nafasi ya kufanya kazi ya mtu nafanya, lakini sometimes unaona bado una ona gap la kuweza kufanya kazi zaidi kwa mtu/watu wengine. kuna mda una-nakuwa free kulingana kazi za technical zangu sio za 24 hours au majukumu ya kila siku yapo, ila kama mtu tayari ana foundation/msingi ya kazi yake anafanya kuongeza nguvu kazi zaidi ku-push load kubwa na kujipanua, tunaweza saidiana zaidi.

lengo lingine:
1. kujifunza zaidi kwa sababu technology is not static

2. kuongeza networking ya kazi na majukumu mengine
Nini ndoto yako
 
Back
Top Bottom