dudus
JF-Expert Member
- Feb 28, 2011
- 23,782
- 54,213
... Majaji.mahakimu huwa hawana mchezo na kesi za kuuwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
... Majaji.mahakimu huwa hawana mchezo na kesi za kuuwa.
Ungeoa kwenu..unavamia mawatu huyajui..leo unaishia kutoa malawana
Ullivyokua kiazi ukavamia ukaoa expecting something else na wakati unawajua kabisa bila hela huna maana...
Unfortunately dada zako wa unakotoka ukawaona mataahira ukaenda kuoa ulipokua unafikiri pa maana
Hahahahaa
Hakika! Mungu atusaidie sanami niliuliza swali hapo lini wachaga nao wameanza mapenzi? manake hiyo hata sio carrier yao. rip dogo.
though tukiacha utani, shetani ni mbaya sana, ni kama mvuvi wa samaki, anaweka chambo kwenye ndoana ili akikuvua akumalize kabisa usitubu ili ukateketee motoni pamoja naye. kijana alipelekwa chambo cha mwanamke bila kujua kama shetani anataka kuchukua maisha yake, na amefariki bila hata kumrudia Mungu. tujifunze kujua kuwa uzinzi ni wa shetani na wazinzi wote hawataurithi ufalme wa Mungu.
[emoji23][emoji23]Halafu mnasema magufuli katili
Hujui kakuta maandishi gani kwa smsDah jamaa ni katili sana[emoji53] hata hajafumania mbususu ikiliwa na wala hakumuonya yeye ni kufanya appointment ya kumuingiza mtegoni na kumuua tu. Dah Dunia hii ina watu makatili sana
Inawezekana alishadosoa nini?[emoji87]Hujui kakuta maandishi gani kwa sms
Kweli aiseeeeyawezekana dogo alishagegeda sana kutokanq chati zao, hivo mume akaona isiwe tabu wagawane majengo ya silikali tu,
Inategemea, kwenye criminology kuna kitu kinaitwa self defense, mtu alovamia kwako kama hakuwa na athari inafikia uwezo wa kukutoa roho, na wewe ukamtoa roho kwa njia moja au nyingine, hapo tutapima kiwango kama utataka kutumia self defense kama kigezo cha kukutoa kwa kosaKumshambulia mhalifu alievamia kwako Ni sawa? Wanasheria mtujuze
SafiiiAisee marehemu alistahili kufa tu hivi unapataje ujasiri wa kwenda kumla mke wa mtu kwenye nyumba anayoishi na mume hiyo ni zarau hata ningekua mimi ningeua tena ningeua wote wawili.