sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Kijana ana degree na masters
Kwa sasa bado yupo kitaa anauza duka la mahitaji ya nyumbani
Kwa miezi kama nane hivi yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na binti mwenye miaka ambae kamaliza moja ya kozi undergraduate, hivi karibuni ndio kajua kwamba binti ni mtoto wa kigogo mzito tu serikalini, kigogo huyo ni mtu wa mikoa kanda ya Pwani, Ni kigogo mwenye power kubwa na connection (hajawahi kuwa Rais)
Sasa huyu muuza duka kaona kwamba asafiri wiki moja huko aliko, ahakikishe huo muda anampa Mimba.
Ni pisi kali kaona awahi mapema kupiga muhuri
Ni uamuzi sawa
Kwa sasa bado yupo kitaa anauza duka la mahitaji ya nyumbani
Kwa miezi kama nane hivi yupo kwenye mahusiano ya kimapenzi na binti mwenye miaka ambae kamaliza moja ya kozi undergraduate, hivi karibuni ndio kajua kwamba binti ni mtoto wa kigogo mzito tu serikalini, kigogo huyo ni mtu wa mikoa kanda ya Pwani, Ni kigogo mwenye power kubwa na connection (hajawahi kuwa Rais)
Sasa huyu muuza duka kaona kwamba asafiri wiki moja huko aliko, ahakikishe huo muda anampa Mimba.
Ni pisi kali kaona awahi mapema kupiga muhuri
Ni uamuzi sawa