Kijana Mwenzangu Chukua Mkopo wa Kusambaza Nishati Safi ya Kupikia mijini na vijijini (Ni fursa kubwa sana hii)

Kijana Mwenzangu Chukua Mkopo wa Kusambaza Nishati Safi ya Kupikia mijini na vijijini (Ni fursa kubwa sana hii)

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
FURSA KUBWA KWA WAJASIRIAMALI NA WAFANYABIASHARA!

-132016476.jpg


Benki ya NMB imetenga Shilingi Bilioni 100 kwa ajili ya Mikopo ya Miradi na Biashara za kusambaza Nishati Safi ya Kupikia kwa Watanzania.

SIFA ZA MKOPO:

Riba nafuu ya 1% kwa mwezi (12% kwa mwaka, reducing balance hivyo effective interest rate ni 6.6%).
Mkopo wa hadi Shilingi Bilioni 1 kwa mfanyabiashara mmoja.
Muda wa mkopo hadi miaka 2 – unachagua muda wa kulipa usiozidi miaka 2.

Fursa hii ni kwa Wasambazaji wa Mitungi na Majiko ya Gesi!

UUzinduzi wa mkopo ulifanyika mbele ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, akiongozana na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba pamoja na uongozi wa Benki ya NMB.

Usikose fursa hii! Tembelea NMB kupata maelezo zaidi.
 
FURSA KUBWA KWA WAJASIRIAMALI NA WAFANYABIASHARA!

View attachment 3220854


Benki ya NMB imetenga Shilingi Bilioni 100 kwa ajili ya Mikopo ya Miradi na Biashara za kusambaza Nishati Safi ya Kupikia kwa Watanzania.

SIFA ZA MKOPO:

Riba nafuu ya 1% kwa mwezi (12% kwa mwaka, reducing balance hivyo effective interest rate ni 6.6%).
Mkopo wa hadi Shilingi Bilioni 1 kwa mfanyabiashara mmoja.
Muda wa mkopo hadi miaka 2 – unachagua muda wa kulipa usiozidi miaka 2.

Fursa hii ni kwa Wasambazaji wa Mitungi na Majiko ya Gesi!

UUzinduzi wa mkopo ulifanyika mbele ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, akiongozana na Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Nchemba pamoja na uongozi wa Benki ya NMB.

Usikose fursa hii! Tembelea NMB kupata maelezo zaidi.
Huu mkopo ni wa Gesi za aina zote..
 
Naomba nisaidie nifanikishe,hili,naomba nisaidie kuandaaa documents zote mhimu zinazohitajika,
Ninauza hii gas natamani kukuza mtaji
 
Umetaja sifa za huo mkopo hujataja sifa au vigezo vya wakopaji, 🙂
Je umesahau?
 
Nimeongea nao wanasema kiwango cha chini ni billion Moja ili upate mkopo paka uwe wakala ambae upo linked Moja Kwa Moja na makampuni. Huu mkopo sio Kwa wafanyabiashara wadogo au wakati ni wakubwa TU.
Basi sawa,kumbe sie pangu pakavu hautuhusu,asante kwa taarifa

Nilijua tu,hii nchi minyama wanajipakulia wao tu
 
Nimeongea nao wanasema kiwango cha chini ni billion Moja ili upate mkopo paka uwe wakala ambae upo linked Moja Kwa Moja na makampuni. Huu mkopo sio Kwa wafanyabiashara wadogo au wakati ni wakubwa TU.
Ndio kuna haja ya kutafuta kuwa wakala wa kuuza gesi.
 
Back
Top Bottom