kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Kila kitu kizuri kinachoonekana mbele ya macho yako leo.,elewa ya kua ni mipango ya watu nyuma. Maisha ni kama story yana kila hatua na matukio mbalimbali.
Yakuhuzunisha, kufurahisha na hata kuvunja moyo ila isiwe kama sababu kwako au pengine tunatofautiana mpango wa fedha kutokana na familia zetu.
Tunazidiana na tunatofautiana pakubwa. Yamkini familia yenu nyumbani inakutazama wewe
Ila bado nayo isiwe kama sababu ya kukurudisha nyuma.
Hebu tupange malengo madogo kwenda makubwa kisha tugawanye malengo hayo kwenye kipato pamoja na muda
Ni kweli unatakiwa ku enjo(kama wasemavyo wa darisalamu) ila iwe kwa 1/10% ya kipato unachokipata
Tujifunze ku balance chupi kwa namna yoyote ile.
Kwasababu hilo ni moja ya mambo yanayomaliza sana uchumi wetu.
Tujifunze kuishi kwa malengo.na sio kufikili juu ya kufanya mambo wanayowapenda watu wengine
Ishi kwenye uharisia wako,panga malengo yako
Kua bahiri(ubahiri ni sifa njema kwa wanaume wanaojielewa)
Tunakumbushana tu.
Yakuhuzunisha, kufurahisha na hata kuvunja moyo ila isiwe kama sababu kwako au pengine tunatofautiana mpango wa fedha kutokana na familia zetu.
Tunazidiana na tunatofautiana pakubwa. Yamkini familia yenu nyumbani inakutazama wewe
Ila bado nayo isiwe kama sababu ya kukurudisha nyuma.
Hebu tupange malengo madogo kwenda makubwa kisha tugawanye malengo hayo kwenye kipato pamoja na muda
Ni kweli unatakiwa ku enjo(kama wasemavyo wa darisalamu) ila iwe kwa 1/10% ya kipato unachokipata
Tujifunze ku balance chupi kwa namna yoyote ile.
Kwasababu hilo ni moja ya mambo yanayomaliza sana uchumi wetu.
Tujifunze kuishi kwa malengo.na sio kufikili juu ya kufanya mambo wanayowapenda watu wengine
Ishi kwenye uharisia wako,panga malengo yako
Kua bahiri(ubahiri ni sifa njema kwa wanaume wanaojielewa)
Tunakumbushana tu.