Librarian 105
JF-Expert Member
- May 6, 2023
- 261
- 356
Kila nikitafakari hatma yetu sisi vijana naumia kutoiona kesho yetu katika nchi ya ahadi. Kiuchumi tunakabiliwa na ukosefu wa ajira na kisiasa tunaambiwa ni taifa la kesho. Ingawa tuna hussle na maisha lakini hatupo pamoja kiroho na kimwili kupamambania haki zetu kitaifa. Tufanyaje?
Kupitia uzi huu, kuna mbaya tukiwa tunatupia mawazo yetu kwenye uzi huu ili yasomwe na washika dau? Na tuvuke zaidi kwa kuomba msaada JamiiForums wa mawazo yetu kufikishwa kwa serikali yetu na vyombo husika?
Naona imetulia, kama poa, tuchukue hatua.
Nawasilisha uzi jamvini.
Kupitia uzi huu, kuna mbaya tukiwa tunatupia mawazo yetu kwenye uzi huu ili yasomwe na washika dau? Na tuvuke zaidi kwa kuomba msaada JamiiForums wa mawazo yetu kufikishwa kwa serikali yetu na vyombo husika?
Naona imetulia, kama poa, tuchukue hatua.
Nawasilisha uzi jamvini.