Kijana ukiendekeza uzinzi hautoboi aisee.

Kijana ukiendekeza uzinzi hautoboi aisee.

ITR

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
6,096
Reaction score
16,390
Vijana wenzangu tubonge jambo, kidogo haya mambo nitakayo ongea nimeyapitia japo nilikuja nikashutuka mapema kabla sijachelewa nikabadilisha muelekeo na matokeo chanya nayaona.

Kama ww ni kijana ambaye bado ndo unajitafuta na una ndoto za kufika mahali fulani kimafanikio, basi itabidi uwe na chaguo gumu la kudhibiti nyege zako tofauti na hapo hautoboi hata kwa dawa, utazunguka kwa waganga tz nzima kwa kudhani umerogwa kumbe hapana.
Na hakuna siku ambapo maisha yatakuwa rahisi kwako ,kwa sababu umejitwika majukumu yasiyo kuwa na ulazima wowote kwenye maisha yako.
Gharama za uzinzi zimekuwa juu sana.
Adui namba moja ya maisha ya vijana wa kisasa ni sisi wenyewe japo kisingizio cha umasikini wetu tumeitwisha ccm.
Hivi kijana kipato chako kwa mwezi ni 500000 kwa mwezi ,alafu wakati huo una mademu si chini ya wa 4 na wote wanakupiga vizinga wakati huo unahitaji ule, uvae ,ulipe kodi ,ununue mahitaji mengine muhimu, huumwe ujitibishe hivi kwa sitahili hiyo maisha yatakuwa marahisi lini kwako?

Yaani unaweza kukuta kijana mdogo wa miaka 22 hana familia lakini amejitwisha majukumu ya kuwatunza na kulisha malaya zaidi ya watano.

Pia uzinzi hauwaathiri vijana tu, hata watu wazima hasa familia zao zimekuwa wahanga wa uzinzi wao, leo hii kuna mamilioni ya familia duniani hazipati matunzo yanayo sitahiki kwa sababu baba zao wanatumia %80ya vipato vyao kugharamia uzinzi badala ya familia zao.
 
Nyeto zipigwe kutunza vibunda dhidi ya majambazi

20241105_121154.jpg
 
Sio uzinzi tu, starehe zote zikiwa na uraibu / addiction ni adui mkubwa kwa vijana wanaojitafuta, kipato kinaishia kwenye starehe, hupigi hatua.

Fanya starehe lakini jitahidi kuzi controll, Kula kwa urefu wa kamba yako
 
Kweli aisee, alafu sasa yametengenezwa mazingira kijana wa kiume ndo kubeba majukum yoteee umlishe, uwanja wa mechi kukodi, nauli, bado ukae na presha kusubiria aingie sku zake kama hukutumia ndomu..

Si wanasemaga ke ana enjoy zaidi kuliko sisi kwenye 6×6... sijui walitulia timing wapi?
 
Vijana wenzangu tubonge jambo, kidogo haya mambo nitakayo ongea nimeyapitia japo nilikuja nikashutuka mapema kabla sijachelewa nikabadilisha muelekeo na matokeo chanya nayaona.

Kama ww ni kijana ambaye bado ndo unajitafuta na una ndoto za kufika mahali fulani kimafanikio, basi itabidi uwe na chaguo gumu la kudhibiti nyege zako tofauti na hapo hautoboi hata kwa dawa, utazunguka kwa waganga tz nzima kwa kudhani umerogwa kumbe hapana.
Na hakuna siku ambapo maisha yatakuwa rahisi kwako ,kwa sababu umejitwika majukumu yasiyo kuwa na ulazima wowote kwenye maisha yako.
Gharama za uzinzi zimekuwa juu sana.
Adui namba moja ya maisha ya vijana wa kisasa ni sisi wenyewe japo kisingizio cha umasikini wetu tumeitwisha ccm.
Hivi kijana kipato chako kwa mwezi ni 500000 kwa mwezi ,alafu wakati huo una mademu si chini ya wa 4 na wote wanakupiga vizinga wakati huo unahitaji ule, uvae ,ulipe kodi ,ununue mahitaji mengine muhimu, huumwe ujitibishe hivi kwa sitahili hiyo maisha yatakuwa marahisi lini kwako?

Yaani unaweza kukuta kijana mdogo wa miaka 22 hana familia lakini amejitwisha majukumu ya kuwatunza na kulisha malaya zaidi ya watano.

Pia uzinzi hauwaathiri vijana tu, hata watu wazima hasa familia zao zimekuwa wahanga wa uzinzi wao, leo hii kuna mamilioni ya familia duniani hazipati matunzo yanayo sitahiki kwa sababu baba zao wanatumia %80ya vipato vyao kugharamia uzinzi badala ya familia zao.
Kwa maneno mepesi ukiwekeza kwenye migodi aina hiyo hela huwa hazirudi
 
-Bora uitwe bahili kuliko kuitwa masikini
-Epuka kuwa na circle kubwa ya wanawake
-Haudaiwi chochote na girlfriend wako
-Jenga ndoto au jenga mahusiano. Unatakiwa kuchagua kimoja
-Mpenzi wako sio ndugu yako
-Mtoto wa kiume ingia kwenye mahusiano kitaalamu
-Mwanaume hautopendwa bure
-Mwanaume jipe kipaumbele wewe mwenyewe
-Stay away from broke women
-Stop dating liabilities
-Treat yourself more better than your woman
-Ukimpa kipaumbele na kumuwezesha zaidi yako atakuacha
-Umasikini wa mwanamke sio tatizo la mwanaume
-Usijitoe, usiwekeze, jipe kipaumbele mwenyewe
-Usiwekeze kwa mwanamke

Haya mambo mayaongea kila siku. Kiijana yoyote ambae bado unajitafuta tenga muda upitie izo thread hapo juu
 
Back
Top Bottom