Th3the
JF-Expert Member
- Aug 6, 2014
- 1,327
- 1,779
Naona una refresh baada kumaliza kuwakanda hapo domNaam mkuu 😎
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona una refresh baada kumaliza kuwakanda hapo domNaam mkuu 😎
Nimekuuliza, kwenye nafasi ya K waweke nini...its just a question, wape vijana solution mkuu.Baada ya mahubir kanisan yanafuata yako hapa kuna ujumbe muhim sana hapa.
Kama unaweza kuhonga malaya zaidi ya watano ili wakupe hizo k zao, unashindwa nn kuoa mwana mmoja ili akuzalie watoto ili hizo fedha unazo wapa hao malaya uziwekeze kwa watoto wako?Kei haiepukiki labda uwe hanithi, muhimu iliwe kwa wastani.
Hakuna sehemu nilipo sema mtu asifanye mapenzi bali uzi unasema usiyaendekeze.Nimekuuliza, kwenye nafasi ya K waweke nini...its just a question, wape vijana solution mkuu.
Niko hapa Nyerere square nasubiri giza liingie na watu waondoke nilale kujiandaa na kesho, kama nmekandwa nasepa chapNaona una refresh baada kumaliza kuwakanda hapo dom
By the time anagonga 30 soko linakuwa limeshuka sana, kama hajaolewa chances zinakuwa reduced to minimal...Kuna jukuu la delilah moja nalichotaga akili kujua tu ana maono gani kwnye life ananichana live kuna njemba yuko nae kisa anajua kunyonya pussy, kuna dereva wa serikali STL yuko nae huyo anatoa hela sana, kuna lecturer yuko nae anampa michongo ya kazi sana.. mimi anasema anapenda muonekano na ukimya kafunga safar self funded zaidi ya km800 kunifata i treat her poorly anipotezee ila yumo tu, ila women bana.. esp kizaz kipya hawa early 20s! Rotten kabisa.
Sasa mume mtarajiwa wa huyu itakuaje ndo kwanza ana 22 plan yake 26 ndo aolewe, Naunga mkono hoja uzinzi una lostisha madem wenyewe wana options kibao.
Wewe ndo kichwa panzi, sasa utaoaje bila kufanya uzinzi?Kumbe ww ni kichwa maji ,kwanza umesoma mada na kuielewa?
Pia unajua nn maana ya uzinzi?
Uzi mzuri sana huu, cha muhimu kuwa na mtu wako mmoja aliye mwelewa bas.Vijana wenzangu tubonge jambo, kidogo haya mambo nitakayo ongea nimeyapitia japo nilikuja nikashutuka mapema kabla sijachelewa nikabadilisha muelekeo na matokeo chanya nayaona.
Kama ww ni kijana ambaye bado ndo unajitafuta na una ndoto za kufika mahali fulani kimafanikio, basi itabidi uwe na chaguo gumu la kudhibiti nyege zako tofauti na hapo hautoboi hata kwa dawa, utazunguka kwa waganga tz nzima kwa kudhani umerogwa kumbe hapana.
Na hakuna siku ambapo maisha yatakuwa rahisi kwako ,kwa sababu umejitwika majukumu yasiyo kuwa na ulazima wowote kwenye maisha yako.
Gharama za uzinzi zimekuwa juu sana.
Adui namba moja ya maisha ya vijana wa kisasa ni sisi wenyewe japo kisingizio cha umasikini wetu tumeitwisha ccm.
Hivi kijana kipato chako kwa mwezi ni 500000 kwa mwezi ,alafu wakati huo una mademu si chini ya wa 4 na wote wanakupiga vizinga wakati huo unahitaji ule, uvae ,ulipe kodi ,ununue mahitaji mengine muhimu, huumwe ujitibishe hivi kwa sitahili hiyo maisha yatakuwa marahisi lini kwako?
Yaani unaweza kukuta kijana mdogo wa miaka 22 hana familia lakini amejitwisha majukumu ya kuwatunza na kulisha malaya zaidi ya watano.
Pia uzinzi hauwaathiri vijana tu, hata watu wazima hasa familia zao zimekuwa wahanga wa uzinzi wao, leo hii kuna mamilioni ya familia duniani hazipati matunzo yanayo sitahiki kwa sababu baba zao wanatumia %80ya vipato vyao kugharamia uzinzi badala ya familia zao.
😂 dah
Ati vinafanyaje?Pombe,uzinzi na kamari vinafira sana ndoto za vijana wengi wa kitanzania, tubadilike
Kaka naona una experience balaa💃Guest house 20,000
Kula & kunywa 30,000
Nauli & Posho 20,000
Jumla 70,0000 ili utombe angalau Kwa kurelax.
Hii ya mkoani Kwa Dar na hili joto pandisha budget.