Kijana ukiendekeza uzinzi hautoboi aisee.

Nmegundua Vijana wengi humu JF ni machalii wadogo sana na uwezo wao wa kufikiri pia ni mdogo sana, Mwanamke anakuzuiaje kufanya mambo yako surely? Na izo pesa unazitafuta kwa ajili ya nini kama sio kwa ajili ya haohao wanawake?

Binafsi nina madem hata sikumbuki idadi na mambo yangu yamenyooka, kila mtu ale kwa urefu wa kamba yake.
Life is too short, enjoy every moment of your life as tomorrow is not promised
 
Uzinzi kwa upande wa kipato mwanamke anafaidika wakati mwanaume anakamuliwa.
Japo kimwili mwanamke ni muathirika mkubwa wa uzinzi.
Mkuu nimekupa huo mfano juu ili kukutoa kwenye generalization ya mambo ndio maana nikakupa neno..., Gigolo; a young man paid or financially supported by a woman, typically an older woman, to be her escort or lover.

Na pia ukisema kutoboa lazima ujue utobozi ni subjective na uzinzi sio lazima utumie finance unaweza ukaupata bure au ukalipwa..., Kwahio hapa either utoe ushauri kwamba uzinzi ni mbaya au mtu yoyote (be it kijana, mzee, mwanamke au mwanaume asifuje mali zake) Ila kuna atakayekujibu huenda huyu mzee alizitafuta ujanani ili uzeeni azipeleke kwenye ngono.... (so long as hatazimaliza na kuja kuwa mzigo kwa jamii) all I can say is To each their Own....
 
Kuna jukuu la delilah moja nalichotaga akili kujua tu ana maono gani kwnye life ananichana live kuna njemba yuko nae kisa anajua kunyonya pussy, kuna dereva wa serikali STL yuko nae huyo anatoa hela sana, kuna lecturer yuko nae anampa michongo ya kazi sana.. mimi anasema anapenda muonekano na ukimya kafunga safar self funded zaidi ya km800 kunifata i treat her poorly anipotezee ila yumo tu, ila women bana.. esp kizaz kipya hawa early 20s! Rotten kabisa.

Sasa mume mtarajiwa wa huyu itakuaje ndo kwanza ana 22 plan yake 26 ndo aolewe, Naunga mkono hoja uzinzi una lostisha madem wenyewe wana options kibao.
 
Kwa hiyo ww hutafuti hela ili watoto wako wasome shule nzuri, wale vizuri ,waishi kwenye nyumba na mazingira safi ,ila unatafuta hela kwa ajili ya kuhonga malaya?
 
Kwa hiyo ww hutafuti hela ili watoto wako wasome shule nzuri, wale vizuri ,waishi kwenye nyumba na mazingira safi ,ila unatafuta hela kwa ajili ya kuhonga malaya?
Hao watoto utawatotoa wewe au mwanamke wako?
 
Swali, wanaishije bila K?
Baada ya mahubir kanisan yanafuata yako hapa kuna ujumbe muhim sana hapa.
 
Hongera umepiga hatua kubwa Sana. Mungu azidi kukufunulia mengi zaidi๐Ÿ‘๐Ÿ‘๐Ÿ‘
 
Its just a pussy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ