Kijana ukihonga elfu kumi kumbuka haya yafuatayo

Kijana ukihonga elfu kumi kumbuka haya yafuatayo

Shilingi 160,000 inatosha kumwachia Mkeo na akaibania Matumizi mkala hadi kufikia hata tarehe za katikati ya mwisho wa reli

Binafsi huwa nanunua Mchele/Unga/gesi/mafuta ya kupikia dumu la Lita 20/Viazi kwaajili ya Chipsi/Mayai trey 2 n.k

Kwahiyo unajikuta unakaa muda mrefu huombwi hela ya Matumizi

Ukiombwa inakuwa mara chache sana

Hiyo mbinu niliitumia wakati naanza maisha ya Kujitegemea DSM

Ilinisaidia sana kipindi kile

Yaani utaishiwa hela, lakini uhakika wa kula unao

Vijana wengi wanatumia kipato chao kikubwa kwenye kutombe**** hao Malaya pamoja na betting

Ukioa, unajikuta unaacha automatic
Nafikiri hatuelewani kwa sababu tunaongea kwa kufanya rejea ya wanawake wa generations tofauti. Batch ya wanawake wa generation yenu ni tofauti na batch ya wanawake hawa wa generation yetu kwaiyo lazima mbinu za mchezo zibadilike
 
Ikiwa Wana mahusiano ya kweli, faida anazopata mhongaji kutoka kwa mhongwaji ni kubwa zaidi kuliko hizo hasara ulizochanganua
 
Nafikiri hatuelewani kwa sababu tunaongea kwa kufanya rejea ya wanawake wa generations tofauti. Batch ya wanawake wa generation yenu ni tofauti na batch ya wanawake hawa wa generation yetu kwaiyo lazima mbinu za mchezo zibadilike
Hahaha....... nimekuelewa sana Mkuu.

Mbinu za kupambana na adui lazima zibadirike 😜
 
Ishu sio kutafuta hela ishu ni mwanamke ana-offer nini in-return. Kuna wanawake ukiwa nao hata iyo 10k anayoisema mtoa mada ni ndogo sana.

Kama mwanamke anauza uchi ilo ni suala la ku-negotiate bei then baada ya tendo no attachments, no billings. Kwa kizazi tulichopo biashara ya ukahaba wala sio kitu cha ajabu tena kama miaka ya nyuma kidogo.

Lakini ukijiweka kwa mwanaume kwa sababu ya hela tu maana yake umeuza uhuru wako utakapouitaji tena basi ombea tu uyo mwanaume awe na kifua cha kustahimili maumivu ya investments zake alizozofanya kwako otherwise ndio yale yale ya msukuma na penny wa goba.

Kwenye dating pool wanawake wanacheza rafu nyingi sana tatizo wakichezewa rafu wao ndo wanajifanya victims.
Narudia tena Vijana mtafute hela.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Narudia tena Vijana mtafute hela.

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Hela tunatafuta. Matumizi ya pesa ni general hayaishii kwenye kumalizana na upwiru tu kuna kula, kodi, bill za nyumbani, kuwekeza, kusaidia ndugu n.k kwaiyo hela lazima itafutwe mpaka kieleweke. Hatuwezi kuleft group ili kukwepa majukumu.
 
1. Ni bei ya Samaki kilo moja
2.Ni bei ya kuku wa nyama mmoja na chenchi inabaki
3.Unatoa mikeka 10 ya buku kwa mhindi
4. Sukari kilo 3
5. Dona kilo 4
6. Mchele super kilo 4
7. Maziwa ya Ng'ombe lita 4
8. Soda take away 10
9. Luku unit 28
10. Tofali za ujenzi 10
Ni ujinga uliopitiliza kumuhudumia ama kumhonga mwanamke asiye wako.
 
Sasa unampa elf kumi ya nini? Au anakuwa amekuomba?
 
Back
Top Bottom