Babu unatuingiza chaka wajukuu zako, yaani gharama ya chakula iwe ndogo mkiwa wawili kuliko ukiwa peke yako.! mimi shilingi 5000 inanitosha kabisa kula siku nzima embu niambie nitaigawa vipi iyo kwa wawili, kumbuka mchana nakua kazini ambapo siwezi kula chakula cha nyumbani lazima ninunue.
Dada poa wa kiwango cha kawaida bei elekezi ni elfu 20 baada ya hapo no attachment, no billings. Kwa wiki inakua elfu 40 kwa mwezi 160K. Piga hesabu ya gharama ya kuhudumia mke/girlfriend kuanzia kula, kulala, kupendeza, posho ya sex, matibabu akiumwa, kumtoa out n.k.
Kumbuka pamoja na kuhudumia hauwezi kula mboga iyo iyo kila siku kwaiyo kuna kutenga bajeti ya kuchepuka pia lakini kununua dadapoa sio lazima awe uyo uyo kila siku.
Kumbuka hakuna guaranteed return ya uwekezaji wako kwa mwanamke. Feelings change, human get bored, heart chase fantasies and crave advanture, so your love can fall out of love with you at any given time without prior warning or any valid reason.
Kununua dadapoa kuna punguza gharama na risk ya kuingia hasara ukilinganisha na kumtunza mwanamke ambae na yeye ni kama anajiuza tu indirectly sema biashara yake amei-brand kwa jina la matunzo