Kijana ukihonga elfu kumi kumbuka haya yafuatayo

Kijana ukihonga elfu kumi kumbuka haya yafuatayo

Sio kuhonga ni kumuhudumia mpenzi wako.

Mbona Wazee tunahudumia,

Lazima kuhakikisha msichana wako ameenda Saluni, umemnunulia gesi, umemlipia kisimbuzi, umemlipia Kodi ya nyumba bila kusahau kumlipia Kikoba, maana bila hivyo hautaweza kupewa vya uvunguni 😜

NB; Jikune Mkono unapofikia
Naomba wazee watunzwe na serikali iwalinde ni kama hazina ya taifa😂
 
I wish I could come accross you Sir!
Sio kuhonga ni kumuhudumia mpenzi wako.

Mbona Wazee tunahudumia,

Lazima kuhakikisha msichana wako ameenda Saluni, umemnunulia gesi, umemlipia kisimbuzi, umemlipia Kodi ya nyumba bila kusahau kumlipia Kikoba, maana bila hivyo hautaweza kupewa vya uvunguni 😜

NB; Jikune Mkono unapofikia
 
Vuka boda uende Kwa Chenge pale Bariadi, kaopoe binti mmoja wa kisukuma mrembo uanze naye maisha

Najua huwezi kukosa shilingi elfu 10 ya kumwachia ya kula Kila Siku

Wewe ukirudi kwenye utafutaji Jioni, unakuta amekuandalia Maji ya moto ya kuoga, na chakula Kipo mezani ili mle pamoja

Saa nne usiku mnavuka zenu mbingu na kwenda Dunia ya peke yenu mkitafuta watoto

Mkifikia miaka 40 mna watoto 4 na Uchumi imara 👊
Umezungumzia Vijana Wa Chermford Street Au Wa Buza Kwa Mpalange?Miaka 40 Huku Kwetu Watu Hawana Hata Kitanda.
 
1. Ni bei ya Samaki kilo moja
2.Ni bei ya kuku wa nyama mmoja na chenchi inabaki
3.Unatoa mikeka 10 ya buku kwa mhindi
4. Sukari kilo 3
5. Dona kilo 4
6. Mchele super kilo 4
7. Maziwa ya Ng'ombe lita 4
8. Soda take away 10
9. Luku unit 28
10. Tofali za ujenzi 10
Wewe usiyehinga una nyumba ngapi
 
1. Ni bei ya Samaki kilo moja
2.Ni bei ya kuku wa nyama mmoja na chenchi inabaki
3.Unatoa mikeka 10 ya buku kwa mhindi
4. Sukari kilo 3
5. Dona kilo 4
6. Mchele super kilo 4
7. Maziwa ya Ng'ombe lita 4
8. Soda take away 10
9. Luku unit 28
10. Tofali za ujenzi 10
Elfu Kumi ni kubwaaaaa sana
 
1. Ni bei ya Samaki kilo moja
2.Ni bei ya kuku wa nyama mmoja na chenchi inabaki
3.Unatoa mikeka 10 ya buku kwa mhindi
4. Sukari kilo 3
5. Dona kilo 4
6. Mchele super kilo 4
7. Maziwa ya Ng'ombe lita 4
8. Soda take away 10
9. Luku unit 28
10. Tofali za ujenzi 10
11. Vipochi manyoya viwili pale Riverside .
12. Vipochi manyoya vitatu na buku la nauli kwa wahaya.
13. Vipande 20 vya sabuni ya mche ya kigoma kwa wale watu wa besheni
14. Vikopo 20 vya mafuta ya baby care
 
Hahaha..............poleni sana Mkuu


Ndiyo maana ili kuepuka hayo, mnatakiwa muoe mapema

Mimi nakumbuka nilioa nikiwa na miaka 24, kufika 26 tayari nina first born
Baba yote hii ulikuwa unawahi nini mzee 24 nipo form two 🤣nagombania wali shule
 
Umezungumzia Vijana Wa Chermford Street Au Wa Buza Kwa Mpalange?Miaka 40 Huku Kwetu Watu Hawana Hata Kitanda.
Miaka 40 ukose Kitanda sio rahisi Mkuu,

Mimi nimenunua godoro langu la Sufi miaka ile ya zamani nikiwa na miaka 16

Nimefanikiwa kujenga Chumba changu cha Kulala cha udongo nikiwa na miaka 15

Kwahiyo Kwa Kijana wa miaka 40 kushindwa kununua Kitanda ni uzembe wa hali ya juu
 
Mimi sihudumii girlfriend, utaratibu wangu ni kwamba kama demu anafikiri kwa sababu ya kufanya sex basi ana haki ya kulipwa na mwanaume maana yake anajiuza kwaiyo tukubaliane bei twende lodge tukamalizane baada ya hapo no attachment, no billing.
na kama ameridhia tuingie kwenye mahusiano ya kimapenzi basi yeye kama mtu mzima mwenye nguvu na akili timamu anawajibika kufanya kazi ajihudumie mahitaji yake. Love relationship is not ascaping route of your financial responsibilities
Hayo mambo huku Afrika hakuna, Mwanamke utakayeingia naye kwenye mahusiano ni lazima umuhudumue

Otherwise lazima akupange foleni, na hivi ARVs hamna mbona faster unaunganishwa kwenye grid na kuaga mashindano
 
Babu unatuingiza chaka wajukuu zako, yaani gharama ya chakula iwe ndogo mkiwa wawili kuliko ukiwa peke yako.! mimi shilingi 5000 inanitosha kabisa kula siku nzima embu niambie nitaigawa vipi iyo kwa wawili, kumbuka mchana nakua kazini ambapo siwezi kula chakula cha nyumbani lazima ninunue.

Dada poa wa kiwango cha kawaida bei elekezi ni elfu 20 baada ya hapo no attachment, no billings. Kwa wiki inakua elfu 40 kwa mwezi 160K. Piga hesabu ya gharama ya kuhudumia mke/girlfriend kuanzia kula, kulala, kupendeza, posho ya sex, matibabu akiumwa, kumtoa out n.k.

Kumbuka pamoja na kuhudumia hauwezi kula mboga iyo iyo kila siku kwaiyo kuna kutenga bajeti ya kuchepuka pia lakini kununua dadapoa sio lazima awe uyo uyo kila siku.

Kumbuka hakuna guaranteed return ya uwekezaji wako kwa mwanamke. Feelings change, human get bored, heart chase fantasies and crave advanture, so your love can fall out of love with you at any given time without prior warning or any valid reason.

Kununua dadapoa kuna punguza gharama na risk ya kuingia hasara ukilinganisha na kumtunza mwanamke ambae na yeye ni kama anajiuza tu indirectly sema biashara yake amei-brand kwa jina la matunzo
Shilingi 160,000 inatosha kumwachia Mkeo na akaibania Matumizi mkala hadi kufikia hata tarehe za katikati ya mwisho wa reli

Binafsi huwa nanunua Mchele/Unga/gesi/mafuta ya kupikia dumu la Lita 20/Viazi kwaajili ya Chipsi/Mayai trey 2 n.k

Kwahiyo unajikuta unakaa muda mrefu huombwi hela ya Matumizi

Ukiombwa inakuwa mara chache sana

Hiyo mbinu niliitumia wakati naanza maisha ya Kujitegemea DSM

Ilinisaidia sana kipindi kile

Yaani utaishiwa hela, lakini uhakika wa kula unao

Vijana wengi wanatumia kipato chao kikubwa kwenye kutombe**** hao Malaya pamoja na betting

Ukioa, unajikuta unaacha automatic
 
Mkuu ungesema mapema pale mlimani city kuna sehemu inaitwa Istanbul aisee walionifanyia wa central siwezi sema nilipasuka hela kwa ujinga wangu baada ya mrembo mmoja kukutana naye kipande ile aisee ngoja nipumzike kidogo.
 
Back
Top Bottom