Kijana ukihonga elfu kumi kumbuka haya yafuatayo

Kijana ukihonga elfu kumi kumbuka haya yafuatayo

Mnawazoesha wenyewe halafu mnawalalamikia.

Picha linaanza ukitaka kuoa mke unamnunua kwa mahari, jambo limekaa kiutamaduni kabisa linakubalika.

Sasa katika utamaduni huo mwanamke akijiona ana mali ya kuuza utamlaumu vipi?
Mkuu ujue hiyo mentality imewaaribu sana wanawake, yan unakuta mtu anajiona yuko very powerful and anaweza kuland anything simply kwasababu ana coochie besides that hakuna sehemu mnakutana hapo kaka watabaki kutulaumu tu kwakweli, I am not going to spend my band's to a woman ambaye hawezi kuwa na input yeyote besides her coochie...
 
Nakumbuka katika Chama changu cha UWABATA ( Umoja Wa Wanaume Bahiri Tanzania )sheria moja wapo ya UWABATA kifungu namba 246 kinasema

USIMUHUDUMIE MWANAMKE AMBAYE BADO HAUJAMUOAKK
Ndivyo huwa inakua,unakuta anayesaka hela kwa jasho jingi,ndo anahonga pakubwa.Mtu anasaidia fundi,anapewa 10 au 15 kwa siku,halafu anahonga 6000,huyo kahonga pakubwa sana,tofauti na mtu anayepata 40000 kwa siku,halafu yawezekana akampa demu msosi tu au akagonga kwa status tu.
Ndivyo huwa inakua,unakuta anayesaka hela kwa jasho jingi,ndo anahonga pakubwa.Mtu anasaidia fundi,anapewa 10 au 15 kwa siku,halafu anahonga 6000,huyo kahonga pakubwa sana,tofauti na mtu anayepata 40000 kwa siku,halafu yawezekana akampa demu msosi tu au akagonga kwa status tu.
Kugonga kwa status ndo kupoje?
 
Dollar elfu ishirini laki saba mia mbili na moja zidisha mamia elfu jumlisha mitano tena, weka na mitikashi million moja, kwacha million mia tano na rand elfu sabini, euro elfu kumi bitcoin elfu moja……. 😹😹🤣
Unaijua hadi Bitcoin, wenzako tunaitredi kabisa
 
1. Ni bei ya Samaki kilo moja
2.Ni bei ya kuku wa nyama mmoja na chenchi inabaki
3.Unatoa mikeka 10 ya buku kwa mhindi
4. Sukari kilo 3
5. Dona kilo 4
6. Mchele super kilo 4
7. Maziwa ya Ng'ombe lita 4
8. Soda take away 10
9. Luku unit 28
10. Tofali za ujenzi 10
Kwa hiyo unataka neno HONGO lifutwe kwenye kamusi?
 
Sasa ukioa ugumu wa maisha sio ndio unaji-double. Ukipiga hesabu ya bajeti kwa mwaka mzima gharama ya kununua dadapoa mara mbili kwa wiki ni ndogo ukilinganisha na gharama ya kumtunza mwanamke.
Mwanaume anaweza kujibana akafanya sex mara mbili kwa mwezi.
 
1. Ni bei ya Samaki kilo moja
2.Ni bei ya kuku wa nyama mmoja na chenchi inabaki
3.Unatoa mikeka 10 ya buku kwa mhindi
4. Sukari kilo 3
5. Dona kilo 4
6. Mchele super kilo 4
7. Maziwa ya Ng'ombe lita 4
8. Soda take away 10
9. Luku unit 28
10. Tofali za ujenzi 10
Elfu kumi ya nini,unatumia mbinu za kimasihara kwanza
 
Sio kuhudumia ni kuuziwa kumer indirect. Kama sio mkeo jukumu la kumuhudumia ni la baba ake.
Hata huyo mpenzi wako unayemuhudumia muda wowote anaweza kuwa Mkeo, labda kama unao wengi uliowapanga hivyo kuwachukulia kama wauza Kei kama ulivyosema
 
Ewe mwanaume kabla ya kumpa mwanamke ambaye siyo mkeo fedha au zawadi yoyote.

hakikisha ume jipa wewe vitu hivyo Mara 10 yake, maana hivi viumbe baadhi ni chuma ulete.

Kumbuka si wa kwako ni zamu yako tu kuichapa usiku na mchana.
Kwa miaka yangu 35 umenipa madini adimu.
Hili naondoka nalo.

#YNWA
#YANGA_BINGWA
 
Sasa ukioa ugumu wa maisha sio ndio unaji-double. Ukipiga hesabu ya bajeti kwa mwaka mzima gharama ya kununua dadapoa mara mbili kwa wiki ni ndogo ukilinganisha na gharama ya kumtunza mwanamke.
Ukioa unapata huduma nyingi ambazo Kwa sehemu kubwa zinakupunguzia Matumizi yasiyo ya lazima.

Angalia kwenye chakula, unatumia kiasi gani kula. Je hicho kiasi ukinunua chakula ndani na Mkeo hamuoni mtasevu sana?

Kwenye hiyo kununua Dada poa mnanunua wa quality ipi? Kama ni hao wa elfu 5 Tano, hata mkitumia kondomu bado mnapata UTI ambazo mnatibiwa Kwa hela nyingi.

Lakini mtatumia shilingi ngapi kuweza kukidhi mahitaji ya kimwili? Wengine tunatamani sex Kila baada ya Siku 3

Ina maana Kwa Mwezi utatumia zaidi ya shilingi 100,000 Kwa Mwezi

Hiyo hela unaweza kuinjoi sex Kwa Mkeo Mwezi mzima, labda Siku zile 5 za period tu

Oeni Vijana
 
Thats a very expensive mbususu. I can not afford. Wacha wenye visu vikali wale hilo tako na titi
Nikupe Nmb au crdb? Ipi ipo karibu na wewe muda huu?
Umenisumbua sana naomba biz ifanyike tuendelee na issue zingine..!! 😹😹
 
Back
Top Bottom