Toughlendon
JF-Expert Member
- Dec 17, 2016
- 498
- 724
Mkuu ujue hiyo mentality imewaaribu sana wanawake, yan unakuta mtu anajiona yuko very powerful and anaweza kuland anything simply kwasababu ana coochie besides that hakuna sehemu mnakutana hapo kaka watabaki kutulaumu tu kwakweli, I am not going to spend my band's to a woman ambaye hawezi kuwa na input yeyote besides her coochie...Mnawazoesha wenyewe halafu mnawalalamikia.
Picha linaanza ukitaka kuoa mke unamnunua kwa mahari, jambo limekaa kiutamaduni kabisa linakubalika.
Sasa katika utamaduni huo mwanamke akijiona ana mali ya kuuza utamlaumu vipi?