Kijana ukihonga elfu kumi kumbuka haya yafuatayo

Kijana ukihonga elfu kumi kumbuka haya yafuatayo

1. Ni bei ya Samaki kilo moja
2.Ni bei ya kuku wa nyama mmoja na chenchi inabaki
3.Unatoa mikeka 10 ya buku kwa mhindi
4. Sukari kilo 3
5. Dona kilo 4
6. Mchele super kilo 4
7. Maziwa ya Ng'ombe lita 4
8. Soda take away 10
9. Luku unit 28
10. Tofali za ujenzi 10
Duuu nmetoka kuhonga laki
 
Hizi kelele naona ni humu kwenye mitandao ya kijamii ila huku mtaani mbona Wanaume wanatoa sana pesa yaani mtu anatamani akupe hata roho yake.
Unadhani wanaume hatupendi kuwapa hela, tunapenda ila inategemea na mwanamke mwenyewe, miaka inavozidi kwenda na huu utandawazi, wanaume wahongaji wataendelea kupungua, ukiona mwanaume anatoa sana pesa kwa mwanamke kuna haya

1)Ni boya, ni mgeni hana uzoefu kwenye mahusiano ya kimapenzi
2)Anajiona hana muonekano mzuri, ili kupata attention ya mwanamke inabidi atoe hela, si rahisi ukute mwanaume kama calisah anahonga mdada
3)Ana hela nyingi za ziada za kuchezea
4)Amependa kweli (Hii kwa wanaume wachache)
5)Ni player anatumia hela kupata wadada, ukijaa kwenye mfumo anakufumua (Hii pia ni wanaume wachache Wana ujanja huu) Nuzulati
 
Napewa mkuu ila kwa kukadiriwa sababu hatupo jirani kiivyo pia na kaz zinachangia
Kama upo naye mbali, endelea kuhudumia ukiwa umejihakikishia nafasi yako kwenye hayo mahusiano

Ikiwa kona kona zimekuwa nyingi punguza huduma kisha ujitoe
 
1. Ni bei ya Samaki kilo moja
2.Ni bei ya kuku wa nyama mmoja na chenchi inabaki
3.Unatoa mikeka 10 ya buku kwa mhindi
4. Sukari kilo 3
5. Dona kilo 4
6. Mchele super kilo 4
7. Maziwa ya Ng'ombe lita 4
8. Soda take away 10
9. Luku unit 28
10. Tofali za ujenzi 10
😀😀😀
 
Sio kuhonga ni kumuhudumia mpenzi wako.

Mbona Wazee tunahudumia,

Lazima kuhakikisha msichana wako ameenda Saluni, umemnunulia gesi, umemlipia kisimbuzi, umemlipia Kodi ya nyumba bila kusahau kumlipia Kikoba, maana bila hivyo hautaweza kupewa vya uvunguni 😜

NB; Jikune Mkono unapofikia
Sio kuhudumia ni kuuziwa kumer indirect. Kama sio mkeo jukumu la kumuhudumia ni la baba ake.
 
Umesema sahihi, wengi wa Umri wetu tulishamaliza kusomesha pamoja na kumaliza majukumu mengine yote

Ila Kwa Vijana, nawashauri Bora waoe mapema

Wapate familia wakiwa Vijana, hii itasaidia kupunguza Matumizi yasiyo ya lazima ya Fedha zao (kuhonga) pia itasaidia kupata watoto wakiwa na nguvu

Siku hizi Kuna tatizo la kupungua Kwa nguvu za kiume miongoni mwa Wanaume wengi

Kwahiyo ukioa mapema, kabla hujafika miaka 42 tayari ulishamaliza kuzaa na Mke wako
Sasa ukioa ugumu wa maisha sio ndio unaji-double. Ukipiga hesabu ya bajeti kwa mwaka mzima gharama ya kununua dadapoa mara mbili kwa wiki ni ndogo ukilinganisha na gharama ya kumtunza mwanamke.
 
1. Ni bei ya Samaki kilo moja
2.Ni bei ya kuku wa nyama mmoja na chenchi inabaki
3.Unatoa mikeka 10 ya buku kwa mhindi
4. Sukari kilo 3
5. Dona kilo 4
6. Mchele super kilo 4
7. Maziwa ya Ng'ombe lita 4
8. Soda take away 10
9. Luku unit 28
10. Tofali za ujenzi 10
😂😂 Ukikifikiria kile kitumbua nyeti😋 hujionei huruma hata kidogo.
 
Dollar elfu ishirini laki saba mia mbili na moja zidisha mamia elfu jumlisha mitano tena, weka na mitikashi million moja, kwacha million mia tano na rand elfu sabini, euro elfu kumi bitcoin elfu moja……. 😹😹🤣
Thats a very expensive mbususu. I can not afford. Wacha wenye visu vikali wale hilo tako na titi
 
Sasa ukioa ugumu wa maisha sio ndio unaji-double. Ukipiga hesabu ya bajeti kwa mwaka mzima gharama ya kununua dadapoa mara mbili kwa wiki ni ndogo ukilinganisha na gharama ya kumtunza mwanamke.
😂😂😂 Pamoja sana kaka.
 
Sasa ukioa ugumu wa maisha sio ndio unaji-double. Ukipiga hesabu ya bajeti kwa mwaka mzima gharama ya kununua dadapoa mara mbili kwa wiki ni ndogo ukilinganisha na gharama ya kumtunza mwanamke.
Hili nalo neno ujue....kweli kabisa dada poa ni less expensive kuliko hawa mashangazi ya tako titi tumbo
 
Nashauri, hivi vitu Vilivyoandikwa kwenye huu uzi msivifatishe huko mtaani.
 
Bado wanasema laki si pesa?
maisha ni magumu sana mkuu..

bado anapambania dola 4 na mimi napambania mbunye😅😅😅
Screenshot_20250206-192810.jpg
 
Jiandae kwa lolote, kumbuka USAID wameleft group.
Asante kwa ushauri...
naona vitoto vya 2000 vinajaa relini at a cheaper cost

#huyu nimemdanganya anitafutie mtu kwa kumtumia sms kumbe ananitumia mm mwenyewe😅😅😅
Screenshot_20250206-194438_1.jpg
 
📌📌📌kataa ndoa,ndoa ni utapeli!!

📌📌📌kama sio bikra,usioe!!!

📌📌📌Toa hela ya nauli(bodaboda) tu,chakula atakikuta geto!!!


🚨🚨🚨Ukiwa na midadi(MAUGUMU) sana,TEMBELEA MIGAHAWA MIKUBWA KULA VIZURI au ingia maduka makali ya NGUO ZA KIUME JIPENDELEE JIBRAND AU KANUNUE TOFALI PELEKA SITE,UKISHINDWA FUNGUA FIXED ACCOUNT.Utashangaa midadi inayeyuka yenyewe.

📌📌📌UBAHILI NDO UTAJIRI!!!
 
Back
Top Bottom