ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Mzee mwenzangu mimi sasa nimechoka, nimeona nipumzishe mapafu🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee mwenzangu mimi sasa nimechoka, nimeona nipumzishe mapafu🤣🤣🤣
Amina.Kwa kweli mna changamoto sana miaka hii
Mungu awasaidie
Vita mlizonazo ni vigumu kushinda pasipo msaada wa Mungu
Pelekeni kwake kilio chenu, mwambie Mungu unahitaji Mke wa namna gani
Kisha ukae unasubiri huku ukiendelea kuwafanyia screening hao marafiki zao wa kike ulionao
Hahaha.............Mzee mwenzangu mara hii umesahau gari bovu huvutwa na zimaMzee mwenzangu mimi sasa nimechoka, nimeona nipumzishe mapafu🤣🤣🤣
🙏🙏Amina.
Biashara kaka vp nikupe namba ununue mzigo?😅😅Huyu ni muuzaji na anachekesha na kusikitisha.
😹😹😹 Halafu ndo usubiri ndoa kwa mtu aliyegeuza betting ajira thubutuuu 🤣Hahaha.....................wanasema maisha magumu, ndiyo maana wanaishi Kwa ku-bet
Hujaona hapo mmoja anasema shilingi elfu 10 anatengeneza mikeka 5 Kwa muhindi 🤗🙌
pamoja Sana mzee.Nimependa hiyo misimamo yako
Stick on them, success itakuwa mlangoni pako
Umewapa wazee wangapi mpaka sasa hivi?Ndio maana wazee mkituomba tunawapa.
Menya..!Umewapa wazee wangapi mpaka sasa hivi?
Labda akutane na Mwanamke ambaye anaweza kumbadirisha😹😹😹 Halafu ndo usubiri ndoa kwa mtu aliyegeuza betting ajira thubutuuu 🤣
Sio kuhonga ni kumuhudumia mpenzi wako.
Mbona Wazee tunahudumia,
Lazima kuhakikisha msichana wako ameenda Saluni, umemnunulia gesi, umemlipia kisimbuzi, umemlipia Kodi ya nyumba bila kusahau kumlipia Kikoba, maana bila hivyo hautaweza kupewa vya uvunguni 😜
NB; Jikune Mkono unapofikia
wewe hata 50 huna nakuchora tu.Nakubaliana na hilo, swala la usaliti limekuwa kubwa miaka yenu hii
Sisi wengine tulibahatika Kuoa wasichana wenye hofu kidogo ya Mungu, kwahiyo familia zimetulia
Hata keshokutwa ikitokea Kuna Mzee mwenzangu anataka kumpiga mistari Bibi yenu, lazima aniletee taarifa kwamba Mzee mwenzako Xxxx anaomba mzigo
Kwa hili tu inaonesha ameridhika na maisha yetu pamoja na kile ninachompatia Kwa bed kwahiyo hajaona haja ya kufanya usaliti
Ukizingatia tayari tumezeeka now 🤗
Gari hili limekuwa scrapper, halifai tena, nitakuja kuaibika Mzee mwenzangu. Habari ya kubustiwa nusu saa mtoto anasikilizia mzigo ukae sawa sitaki tena🤣🤣🤣🤣japo mimi nikitaka ni 35+, hawa gen z nakuachia wewe🤣Hahaha.............Mzee mwenzangu mara hii umesahau gari bovu huvutwa na zima
Mimi hadi nifie kwenye kinanii 😜 (jokes)
Nakuombea Mkuu 🙏🙏🙏pamoja Sana mzee.
Kwa hili somo la leo sitaki tena kuhonga 10000 ni tofali kumiBiashara kaka vp nikupe namba ununue mzigo?😅😅
Mkuu umeanza kuwa na wasiwasi na Wazee tena?🤗wewe hata 50 huna nakuchora tu.
Mimi mwanaume wa kumbadilisha sitaki, muda ni mchache aje akiwa na akili timamu..!!Labda akutane na Mwanamke ambaye anaweza kumbadirisha
Kuna Wanawake wanajua kumbadirisha Mume, unakuta Mume alikuwa mtu wa kushinda vijiweni baada ya Kuoa unakuta anaacha
Unakuta Mume alikuwa na kawaida ya ku-bet, baada ya Kuoa anaacha betting
Usiogope Mjukuu, take your Man home and make him the best Father to your kids
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂najua kupangua gia mkuu...View attachment 3226968
😂😂😂😂😂😂😂😂😂katoto kwa 2004 kanaitakaView attachment 3226951