Down To Earth
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 21,940
- 16,643
najua kupangua gia mkuu...Huyu anauza indirect,,,unapangwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
najua kupangua gia mkuu...Huyu anauza indirect,,,unapangwa
Babu warudisheni jandoni vijana wako 😹Sio kuhonga ni kumuhudumia mpenzi wako.
Mbona Wazee tunahudumia,
Lazima kuhakikisha msichana wako ameenda Saluni, umemnunulia gesi, umemlipia kisimbuzi, umemlipia Kodi ya nyumba bila kusahau kumlipia Kikoba, maana bila hivyo hautaweza kupewa vya uvunguni 😜
NB; Jikune Mkono unapofikia
Hahaha.....................wanasema maisha magumu, ndiyo maana wanaishi Kwa ku-betBabu warudisheni jandoni vijana wako 😹
Hahaha..............poleni sana MkuuWe mzee hao mademu wa zama zenu wali kuwa committed, na smart upstairs bhana.
hata uki muhudumia una jiona fahari kufanya hivyo, siyo hawa wa siku 2-3 tayari ana matatizo mengi yasiyo eleweka.
Yaani una hudumia, kumbe Kuna mwana ana pewa bure kisa ana mchekesha chekesha ukiwa kazini 🤣😂
View attachment 3226956
KATAA NDOA wame nipa cheo Cha u katibu mwenezi 😂 😂Hahaha..............poleni sana Mkuu
Ndiyo maana ili kuepuka hayo, mnatakiwa muoe mapema
Mimi nakumbuka nilioa nikiwa na miaka 24, kufika 26 tayari nina first born
Umesema sahihi, wengi wa Umri wetu tulishamaliza kusomesha pamoja na kumaliza majukumu mengine yoteKwa vile hamna cha kupoteza
Vuka boda uende Kwa Chenge pale Bariadi, kaopoe binti mmoja wa kisukuma mrembo uanze naye maishaKATAA NDOA wame nipa cheo Cha u katibu mwenezi 😂 😂
Alafu anamhonga single mother1. Ni bei ya Samaki kilo moja
2.Ni bei ya kuku wa nyama mmoja na chenchi inabaki
3.Unatoa mikeka 10 ya buku kwa mhindi
4. Sukari kilo 3
5. Dona kilo 4
6. Mchele super kilo 4
7. Maziwa ya Ng'ombe lita 4
8. Soda take away 10
9. Luku unit 28
10. Tofali za ujenzi 10
Saa 4 nakuwa busy sana, kiufupi hii routine labda baadae sana 😂 🤣Vuka boda uende Kwa Chenge pale Bariadi, kaopoe binti mmoja wa kisukuma mrembo uanze naye maisha
Najua huwezi kukosa shilingi elfu 10 ya kumwachia ya kula Kila Siku
Wewe ukirudi kwenye utafutaji Jioni, unakuta amekuandalia Maji ya moto ya kuoga, na chakula Kipo mezani ili mle pamoja
Saa nne usiku mnavuka zenu mbingu na kwenda Dunia ya peke yenu mkitafuta watoto
Mkifikia miaka 40 mna watoto 4 na Uchumi imara 👊
Unamhonga pesa na hakupi show/gameStarehe gharama,,,,kama huna pesa kaa mbali na starehe
Usipohonga utelezi unapatajeHalafu na kwanini uhonge?, hela yako Haina kazi za msingi!. Eboo.
Unaweza ukamfanyia vyote hivyo na bado asikupe mkuuSio kuhonga ni kumuhudumia mpenzi wako.
Mbona Wazee tunahudumia,
Lazima kuhakikisha msichana wako ameenda Saluni, umemnunulia gesi, umemlipia kisimbuzi, umemlipia Kodi ya nyumba bila kusahau kumlipia Kikoba, maana bila hivyo hautaweza kupewa vya uvunguni 😜
NB; Jikune Mkono unapofikia
Na kuhoga million 1.5 kila wiki? Hebu nipigie mahesabu kama vipi niache hii tabia1. Ni bei ya Samaki kilo moja
2.Ni bei ya kuku wa nyama mmoja na chenchi inabaki
3.Unatoa mikeka 10 ya buku kwa mhindi
4. Sukari kilo 3
5. Dona kilo 4
6. Mchele super kilo 4
7. Maziwa ya Ng'ombe lita 4
8. Soda take away 10
9. Luku unit 28
10. Tofali za ujenzi 10
Hizo x x zinatia kichefu chefu, huyo ni mtoto wa 2005katoto kwa 2004 kanaitakaView attachment 3226951
Wadada watapatashida kwa tathmini za namna hii.1. Ni bei ya Samaki kilo moja
2.Ni bei ya kuku wa nyama mmoja na chenchi inabaki
3.Unatoa mikeka 10 ya buku kwa mhindi
4. Sukari kilo 3
5. Dona kilo 4
6. Mchele super kilo 4
7. Maziwa ya Ng'ombe lita 4
8. Soda take away 10
9. Luku unit 28
10. Tofali za ujenzi 10
Kama wewe ni binti Kumbuka kukosa fedha, haku husiani na kuto kuwa na mpenzi mwenye hela.Usipohonga utelezi unapataje