Kijana ukihonga elfu kumi kumbuka haya yafuatayo

Kijana ukihonga elfu kumi kumbuka haya yafuatayo

Tqtizo ni kuwa mnaandika tu humu, ila uhalisia mtaani ni tofauti kabisa. Wanaume, tena ambao wanatafuta kwa jasho sana ndio wanatoa senti zao za mwisho ili wanawake zao wafurahie maisha.
na wanawake pia wapo wanatoa K kwa kutulazimisha
Screenshot_20250206-173357.jpg
 
1. Ni bei ya Samaki kilo moja
2.Ni bei ya kuku wa nyama mmoja na chenchi inabaki
3.Unatoa mikeka 10 ya buku kwa mhindi
4. Sukari kilo 3
5. Dona kilo 4
6. Mchele super kilo 4
7. Maziwa ya Ng'ombe lita 4
8. Soda take away 10
9. Luku unit 28
10. Tofali za ujenzi 10
Dah mie nimetoka kuhonga 200k 😭😭😭😭😭
 
Nakubaliana na hilo, swala la usaliti limekuwa kubwa miaka yenu hii

Sisi wengine tulibahatika Kuoa wasichana wenye hofu kidogo ya Mungu, kwahiyo familia zimetulia

Hata keshokutwa ikitokea Kuna Mzee mwenzangu anataka kumpiga mistari Bibi yenu, lazima aniletee taarifa kwamba Mzee mwenzako Xxxx anaomba mzigo

Kwa hili tu inaonesha ameridhika na maisha yetu pamoja na kile ninachompatia Kwa bed kwahiyo hajaona haja ya kufanya usaliti

Ukizingatia tayari tumezeeka now 🤗
Hongereni sana.
 
We mzee hao mademu wa zama zenu wali kuwa committed, na smart upstairs bhana.

hata uki muhudumia una jiona fahari kufanya hivyo, siyo hawa wa siku 2-3 tayari ana matatizo mengi yasiyo eleweka.

Yaani una hudumia, kumbe Kuna mwana ana pewa bure kisa ana mchekesha chekesha ukiwa kazini 🤣😂
View attachment 3226956
siku 2 mbona ni kama mwaka yan unapotaka kujielezea tu Tayari umekwisha
 
Manesi na madaktari try at your own risk.
Inatakiwa ukubaliane na kuchapiwa,wao kuchapiwa ni inshu ndogo sana.
Hahaha.................have dated both

Kwahiyo have got experience on the two, labda Kwa kuwa ilikuwa ni Mwaka 47 😜
 
Usihangaike na hizo degree, hakikisha unapata mtu sahihi tu

Ila kuwa na girlfriends japo 3 kisha unapick the right candidate

Huko Vijijini Kuna Wanawake wazuri tu ambao ukisema ukae nao, ni watii na wanajua kufanya vitu Kwa usahihi ukiwaelewesha

Kuna watendaji wa Vijiji/Mitaa/Manesi/Madaktari/Walimu n.k
Mzee elimu ya darasani haija wahi kuwa Moja ya kigezo changu nyakati za kutafuta mwenza.

as long she is intelligent, ana hofu ya Mungu, muwazi na mshirika mzuri it's enough kwa upande wangu.

Maana binadamu hatuja kamilika, hivyo hayo mengine mna jengana kidogo kidogo.

Kuhusu sijui financial statement, zangu zita tosha kwa kuwa mimi ndiye kichwa Cha familia.

I have been a businessman since 18, nije kushindwa leo😂😂
 
Mzee elimu ya darasani haija wahi kuwa Moja ya kigezo changu nyakati za kutafuta mwenza.

as long she is intelligent, ana hofu ya Mungu, muwazi na mshirika mzuri it's enough kwa upande wangu.

Maana binadamu hatuja kamilika, hivyo hayo mengine mna jengana kidogo kidogo.

Kuhusu sijui financial statement, zangu zita tosha kwa kuwa mimi ndiye kichwa Cha familia.

I have been a businessman since 18, nije kushindwa leo😂😂
Nimependa hiyo misimamo yako

Stick on them, success itakuwa mlangoni pako
 
😂khaaa! Nimewaongelea watoto wa elfu 2, mimi wa 80 hainihusu hiyo.
Hahahaha...............uzuri wake, Wazee tunaweza kuoga Maji ya moto ama ya vuguvugu

Nimeongea Kwa niaba ya Wazee wenzangu wote wa humu 😜
 
Shukrani Mkuu, japo bado tunapumua, lolote linaweza kutokea

Unakuta mtu anakuja kuchekupa at our 79s 🙌😜
😄 😄 sidhani,ila kwa hawa wetu,mmmh! ni changamoto, yaani inabidi sijui iweje,usaliti unafanya tusihudumie mazimamazima.Tuna hofu,hasa kwa hizi chalenji za mitandaoni zinavyotufunulia mambo,mmmh! inatisha sana.
 
😄 😄 sidhani,ila kwa hawa wetu,mmmh! ni changamoto, yaani inabidi sijui iweje,usaliti unafanya tusihudumie mazimamazima.Tuna hofu,hasa kwa hizi chalenji za mitandaoni zinavyotufunulia mambo,mmmh! inatisha sana.
Kwa kweli mna changamoto sana miaka hii

Mungu awasaidie

Vita mlizonazo ni vigumu kushinda pasipo msaada wa Mungu

Pelekeni kwake kilio chenu, mwambie Mungu unahitaji Mke wa namna gani

Kisha ukae unasubiri huku ukiendelea kuwafanyia screening hao marafiki zao wa kike ulionao
 
Back
Top Bottom