2019
JF-Expert Member
- Dec 31, 2018
- 3,130
- 4,735
Nimechunguza mengi sana ndani ya ndoa. Kabla hujaoa ulikua huru kwenda na kurudi muda wowote na tabia za kibachela. Ndugu jamaa walikua huru kukuomba na kuwasaidia bila vikwazo vingi.
Ukishaoa kijana lazima ubadilike ili uendane na mwezio, yaani uache tabia ulizokuwa nazo unaze kuishi kutokana na chama kipya.
Huezi tena kuchelewa nyumbani sababu ya kuwa na marafiki mkinywa, una majukumu huwezi kutoa misaada sawa na mwanzo tena.
Wakati yote ukifanya wale waooote wanufaika wako, ndugu, jamaa na washkaji wanaona kabisa sababu ya mabadiliko yako ni mkeo.
Kwa hiyo wanabaki na wazo MKEO MBAYA, ANA ROHO MBAYA,AU AMEKUKALIA.
Jambo lipi jema, kuishi na familia yako vizuri au kukosana na familia kisa watu wengine?
Ukishaoa kijana lazima ubadilike ili uendane na mwezio, yaani uache tabia ulizokuwa nazo unaze kuishi kutokana na chama kipya.
Huezi tena kuchelewa nyumbani sababu ya kuwa na marafiki mkinywa, una majukumu huwezi kutoa misaada sawa na mwanzo tena.
Wakati yote ukifanya wale waooote wanufaika wako, ndugu, jamaa na washkaji wanaona kabisa sababu ya mabadiliko yako ni mkeo.
Kwa hiyo wanabaki na wazo MKEO MBAYA, ANA ROHO MBAYA,AU AMEKUKALIA.
Jambo lipi jema, kuishi na familia yako vizuri au kukosana na familia kisa watu wengine?