Kijana ukioa tu lazima wazee wa "Kitonga" wamchukie mkeo tu, chunguzeni

Kijana ukioa tu lazima wazee wa "Kitonga" wamchukie mkeo tu, chunguzeni

Tatizo unashindwa kutofautisha kati ya kusaidia na kutapanya. Hakuna mke atakayekuzuia kusaidia wahitaji. Ukiona anakuzuia basi huyo siyo mke ni mchumaji. Lakini pia hakuna mwanamke atakaye mvumilia mwanaume anayetapanya mali kwa kisingizio cha kuwafurahisha ndugu na marafiki.

Hujamfahamu huyu kakusudia mwanzo ukiwa single unasaidia ndugu na jamaa kwasababu huna majukumu(mke). Mfano hata mtu binafsi anakuwa na matumizi ya 10,000 kwa siku, lakini ukishaowa tu matumizi yanazidi hata kama ulikuwa una shopping nguo kila wiki sasa uta shopping mwezi au miezi 2 mara moja.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Hujamfahamu huyu kakusudia mwanzo ukiwa single unasaidia ndugu na jamaa kwasababu huna majukumu(mke). Mfano hata mtu binafsi anakuwa na matumizi ya 10,000 kwa siku, lakini ukishaowa tu matumizi yanazidi hata kama ulikuwa una shopping nguo kila wiki sasa uta shopping mwezi au miezi 2 mara moja.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Kwa kifupi hicho unachokiita msaada hakikuwa msaada. Misaada ya namna hiyo ndiyo husababisha wasaidiwa wanamnanga msaidiaji. Unaweza kusikia mtu anasema, jamaa ana miaka mingi kazini lakini hata kibanda hana. Wakati yeye huyo huyo ndio alikuwa kila mara anatuma sms za kupiga mzinga. Mimi hiyo aina ya mizinga ndiyo siitaki iitwe misaada.
 
Kwa kifupi hicho unachokiita msaada hakikuwa msaada. Misaada ya namna hiyo ndiyo husababisha wasaidiwa wanamnanga msaidiaji. Unaweza kusikia mtu anasema, jamaa ana miaka mingi kazini lakini hata kibanda hana. Wakati yeye huyo huyo ndo alikuwa kila mara anatuma sms za kupiga mzinga. Mimi hiyo aina ya mizinga ndiyo siitaki iitwe misaada.

Kwahio unasema kuwapa hela ndugu sio msaada bali unatoa tu? Au unasema tusisaidie ndugu kabisa?


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
 
Maana ya ndoa unajua?
hilo swali zuri..

mimi naamini kila mtu anaetamani ndoa ana reasons zake.

mimi naamini mpaka nafikia kutaka kuoa kuna vitu nataka kuviepuka na kuna vitu nataka kuvijenga.. sababu zenyewe ni kama zifuatazo:

1. nisingependa mtoto wangu aishi bila baba kuwepo kwenye maisha yake.. hii inasaidia mtoto kuwa na tabia za kiume na inampa pia malezi bora toka pande zote mbili kwa baba na mama.

2. ndoa inasaidia pia kupunguza tabia toxic kama kulala hovyo na wanawake tofauti, inapunguza risk ya kupata magonjwa ya zinaa

3. ndoa inafanya ukoo ukuone unajielewa, umekua na una uwezo wa kupambana na changamoto nyingi. ndo mana vikao vingi vya familia vinaalika wanafamilia waliooa, kwa sababu ndoa inakufanya uonekane mkakamavu na unajitambua. kama una uwezo wa kukabili changamoto za ndoa, familia inaamini una uwezo mkubwa pia wa kutatua matatizo mengine ya ukoo na kijamii kwa ujumla.

Asante.
 
Kila kitu kwa kiasi kwa vyovyote mtu ukishakuwa na familia ni lazima uipe kipao mbele kwa kadri uwezo unavyoruhusu.
Ndugu wengine hawataki hivyo, kama ulikuwa unatoa hicho kiasi hata ukioa utoe hivyo hivyo mshahara wenyewe huu tangu nyongeza ya mkwele haujawahi ongezeka, kila mtu apambane na maisha yake kama hana maradhi akabebe tofari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hujamfahamu huyu kakusudia mwanzo ukiwa single unasaidia ndugu na jamaa kwasababu huna majukumu(mke). Mfano hata mtu binafsi anakuwa na matumizi ya 10,000 kwa siku, lakini ukishaowa tu matumizi yanazidi hata kama ulikuwa una shopping nguo kila wiki sasa uta shopping mwezi au miezi 2 mara moja.


Lunatic [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Wanataka hiyo elf 10 mjibane na mkeo ili kuwa saidia ndugu na jamaa, usionekane kama mke anakuzuia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa kifupi hicho unachokiita msaada hakikuwa msaada. Misaada ya namna hiyo ndiyo husababisha wasaidiwa wanamnanga msaidiaji. Unaweza kusikia mtu anasema, jamaa ana miaka mingi kazini lakini hata kibanda hana. Wakati yeye huyo huyo ndio alikuwa kila mara anatuma sms za kupiga mzinga. Mimi hiyo aina ya mizinga ndiyo siitaki iitwe misaada.
Yaani hiyo inatesa sana, unakuta mtu kila siku anavyatua familia lakini hatafuti mahitaji yao kazi yake vizinga haa haa, mpaka ukipigiwa simu unaogopa kupokea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom