Kijana ukiwa mshabiki wa CCM watu wanajua we ni mchumia tumbo tu

Kijana ukiwa mshabiki wa CCM watu wanajua we ni mchumia tumbo tu

Rasterman

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2015
Posts
33,894
Reaction score
44,117
Hili jambo kwa kweli haliko sawa. Imefika mahali image ya mtu inachange kabisa.

Yaani ukiwa mkereketwa kijana wa CCM hata ukajitetea vipi kwamba jamani na mimi niko kwa maslahi ya Taifa bado vijana wenzio na wazee hawatakuamini.

Wanachojua ni kuwa umefata ulaji tu.

Sambamba na hayo watu wanaanza kukuogopa kuwa wewe:

  • Ni mla rushwa tu
  • Mpenda sifa
  • Fisadi
  • Mpenda kujipendekeza
  • Mnafiki
  • Usiyependa maendeleo ya wengine.
Mambo haya yamekifanya chama hiki kutopendwa kabisa na vijana wenye maono.

Bahati mbaya sana ndio chama kiko madarakani.
 
Hili jambo kwa kweli haliko sawa. Imefika mahali image ya mtu inachange kabisa.

Yaani ukiwa mkereketwa kijana wa CCM hata ukajitetea vipi kwamba jamani na mimi niko kwa maslahi ya Taifa bado vijana wenzio na wazee hawatakuamini.

Wanachojua ni kuwa umefata ulaji tu.

Sambamba na hayo watu wanaanza kukuogopa kuwa wewe:

  • Ni mla rushwa tu
  • Mpenda sifa
  • Fisadi
  • Mpenda kujipendekeza
  • Mnafiki
  • Usiyependa maendeleo ya wengine.
Mambo haya yamekifanya chama hiki kutopendwa kabisa na vijana wenye maono.

Bahati mbaya sana ndio chama kiko madarakani.
cc Twaweza Results 2016
 
Hili jambo kwa kweli haliko sawa. Imefika mahali image ya mtu inachange kabisa.

Yaani ukiwa mkereketwa kijana wa CCM hata ukajitetea vipi kwamba jamani na mimi niko kwa maslahi ya Taifa bado vijana wenzio na wazee hawatakuamini.

Wanachojua ni kuwa umefata ulaji tu.

Sambamba na hayo watu wanaanza kukuogopa kuwa wewe:

  • Ni mla rushwa tu
  • Mpenda sifa
  • Fisadi
  • Mpenda kujipendekeza
  • Mnafiki
  • Usiyependa maendeleo ya wengine.
Mambo haya yamekifanya chama hiki kutopendwa kabisa na vijana wenye maono.

Bahati mbaya sana ndio chama kiko madarakani.
Tuendeled kujadili hiki kama vijana tujitoe kwenye aibu hii
 
Hili jambo kwa kweli haliko sawa. Imefika mahali image ya mtu inachange kabisa.

Yaani ukiwa mkereketwa kijana wa CCM hata ukajitetea vipi kwamba jamani na mimi niko kwa maslahi ya Taifa bado vijana wenzio na wazee hawatakuamini.

Wanachojua ni kuwa umefata ulaji tu.

Sambamba na hayo watu wanaanza kukuogopa kuwa wewe:

  • Ni mla rushwa tu
  • Mpenda sifa
  • Fisadi
  • Mpenda kujipendekeza
  • Mnafiki
  • Usiyependa maendeleo ya wengine.
Mambo haya yamekifanya chama hiki kutopendwa kabisa na vijana wenye maono.

Bahati mbaya sana ndio chama kiko madarakani.
Sina chama ila ni bora nishabikie ccm kuliko kusgabikia upinzani ambao mpaka sasa sio sera yao strong ambayo inawagusa wananchi moja kwa moja.
 
Upinzani ni uasi na uasi umeasisiwa na ibilisi... Sijasema sisiemu chama cha mungu lakini naomba nieleweke hapo
 
Write your reply...nani anapenda shida mlivyo tudanganya lowasa mwizi tukadundwa tukatoka nduki kwa mguu tandika mpaka kimara. Halafu akaja chadema eti oi siyo mwivi aliye msingizia nani mnapenda sana drama eeh tuacheni tupumue na huyo mbeligiji wenu uchwala siupendi upinzani kama ugonjwa%@¿?#
 
Sina chama ila ni bora nishabikie ccm kuliko kusgabikia upinzani ambao mpaka sasa sio sera yao strong ambayo inawagusa wananchi moja kwa moja.
Mkuu basi jipe muda ufatilie siasa za upinzani. Utakuwa unasema uongo ukisema huoni umuhimu wa hoja zao. Otherwise wewe ni ccm damu damu.
 
Hilo lipo wazi. Hauwezi kumkuta kijana msomi anaishabikia CCM bila kunufaika nacho. Fanya utafiti ni ukweli mtupu!

Kina mama wenyewr huwa wananufaika kipindi cha kampeni kwa kupewa elfu mbili mbili kima cha chini, kanga, tisheti + viremba!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Kweli nilikutana na bibi mmoja kule Kyela nikamuuliza mbona unapenda ccm akasema sio naipenda na wala siipigii kura natafuta pesa tu. Wakati wa Uchaguzi alipata jumla elfu 80 za hapa na pale kama hongo
 
Write your reply...nani anapenda shida mlivyo tudanganya lowasa mwizi tukadundwa tukatoka nduki kwa mguu tandika mpaka kimara. Halafu akaja chadema eti oi siyo mwivi aliye msingizia nani mnapenda sana drama eeh tuacheni tupumue na huyo mbeligiji wenu uchwala siupendi upinzani kama ugonjwa%@¿?#
Lowasa Mwizi ndio ni vile tu serikali ya ccm haikumpeleka mahakamani
 
Hili jambo kwa kweli haliko sawa. Imefika mahali image ya mtu inachange kabisa.

Yaani ukiwa mkereketwa kijana wa CCM hata ukajitetea vipi kwamba jamani na mimi niko kwa maslahi ya Taifa bado vijana wenzio na wazee hawatakuamini.

Wanachojua ni kuwa umefata ulaji tu.

Sambamba na hayo watu wanaanza kukuogopa kuwa wewe:

  • Ni mla rushwa tu
  • Mpenda sifa
  • Fisadi
  • Mpenda kujipendekeza
  • Mnafiki
  • Usiyependa maendeleo ya wengine.
Mambo haya yamekifanya chama hiki kutopendwa kabisa na vijana wenye maono.

Bahati mbaya sana ndio chama kiko madarakani.
Mazezeta wanatumiwa tu na wajanja wachache bila wao kujijua
 
Back
Top Bottom