Kijana ukiwa mshabiki wa CCM watu wanajua we ni mchumia tumbo tu

Kijana ukiwa mshabiki wa CCM watu wanajua we ni mchumia tumbo tu

Kweli nilikutana na bibi mmoja kule Kyela nikamuuliza mbona unapenda ccm akasema sio naipenda na wala siipigii kura natafuta pesa tu. Wakati wa Uchaguzi alipata jumla elfu 80 za hapa na pale kama hongo
Ndio hivyo japo watu watazunguka kule na huko lakini ukweli ndio huo!

Wanavyuo wanajua hasa wa pale kanda ya kati Dodoma jinsi wanavyopata pesa ya kula kupitia wabunge wa CCM kipindi cha bunge.

Kijana akishanufaika na CCM inabidi akitetee kwa nguvu zote kwa sababu anajua ananufaika nacho.

Uchaguzi wa mwaka 2010 & 2015 vijana wa upinzani walijitolea kuwa mawakala sehemu fulani. Vijana wale walikuwa mawakala bila kulipwa chochote na kushinda njaa tangu asubuhi mpaka usiku ilimradi tu kuhakikisha zoezi la uchaguzi linaenda sawa. Kwa upande wa CCM wao walikuwa wanawapelekea mawakala msosi wa maana na posho za kutosha kwa mawakala wao.

Kiukweli moyo ule ungeendelea kwa vijana wale wa upinzani Tanzania ilikuwa inaenda kukombolewa. Sema bwana yule akaja kupiga spana na kuwadhoofisha vijana, hivyo kuwa machawa ili wapate pesa mana njaa kali, huku wengine wakihofia usalama wao. Hii ni baada ya bwana yule kugundua udhaifu wa Mtanzania ni woga, na jamaa alikuwa hatanii, ukizubaa anakumaliza kweli!
 
Ndio hivyo japo watu watazunguka kule na huko lakini ukweli ndio huo!

Wanavyuo wanajua hasa wa pale kanda ya kati Dodoma jinsi wanavyopata pesa ya kula kupitia wabunge wa CCM kipindi cha bunge.

Kijana akishanufaika na CCM inabidi akitetee kwa nguvu zote kwa sababu anajua ananufaika nacho.

Uchaguzi wa mwaka 2010 & 2015 vijana wa upinzani walijitolea kuwa mawakala sehemu fulani. Vijana wale walikuwa mawakala bila kulipwa chochote na kushinda njaa tangu asubuhi mpaka usiku ilimradi tu kuhakikisha zoezi la uchaguzi linaenda sawa. Kwa upande wa CCM wao walikuwa wanawapelekea mawakala msosi wa maana na posho za kutosha kwa mawakala wao.

Kiukweli moyo ule ungeendelea kwa vijana wale wa upinzani Tanzania ilikuwa inaenda kukombolewa. Sema bwana yule akaja kupiga spana na kuwadhoofisha vijana, hivyo kuwa machawa ili wapate pesa mana njaa kali, huku wengine wakihofia usalama wao. Hii ni baada ya bwana yule kugundua udhaifu wa Mtanzania ni woga, na jamaa alikuwa hatanii, ukizubaa anakumaliza kweli!
Tuna vijana wa hovyo sana. Wako tayari kuuza nafsi zao kwa kitu kidogo
 
Sina chama ila ni bora nishabikie ccm kuliko kusgabikia upinzani ambao mpaka sasa sio sera yao strong ambayo inawagusa wananchi moja kwa moja.
Kwa lugha nyingine unajitenga na waliobeba jeneza unajificha kaburini kumbe ndiko linakopelekwa jeneza.

Hii nayo ni akili iko Tz inaishi🙉
 
FB_IMG_1575390806699.jpg
FB_IMG_1575390800494.jpg
 
Write your reply...nani anapenda shida mlivyo tudanganya lowasa mwizi tukadundwa tukatoka nduki kwa mguu tandika mpaka kimara. Halafu akaja chadema eti oi siyo mwivi aliye msingizia nani mnapenda sana drama eeh tuacheni tupumue na huyo mbeligiji wenu uchwala siupendi upinzani kama ugonjwa%@¿?#
Kwa hiyo Lowassa ndiyo anaendesha maisha yako?Ona jinga hili!
 
Sina chama ila ni bora nishabikie ccm kuliko kusgabikia upinzani ambao mpaka sasa sio sera yao strong ambayo inawagusa wananchi moja kwa moja.
Ccm Ina sera ipi imala?Au ndio wale wanao sema upinzani hauna ajenda? Kama ni msomi kweli utetezi wa swali lako hautofautiani na wale wanao sema upinzani hauna ajenda wakati matatizo ya watanzania ndio ajenda. Pia labda kama husomi hakuna vyama vinavyokuja na sera nzuri ambazo Kwa Dunia ya sasa hivi ndizo zinazotakiwa kufanyiwa kazi mathalani sera za kilimo,sayansi na teknolojia,elimu,matumizi mazuri za rasilimali,uwajibikaji na kadharika
 
Ccm Ilipoacha Kufuata Ahadi Za Mwana Tanu Imekwisha
 
Back
Top Bottom