Kijana unayejitafuta kimaisha, katika utafutaji wako Zanzibar iweke namba moja

Kijana unayejitafuta kimaisha, katika utafutaji wako Zanzibar iweke namba moja

Okay ni hela nzuri lakini sasa kama ni mtu mgeni ndio ameenda kwa mara ya kwanza atumie mbinu gani kuzipata hizo kazi au aende mazingira ya wapi ili azipate hizo kazi au kuna kampuni maalum ndio wanachukua wafanyakazi?
Shamba hasa Jambiani, Paje, Michamvi mpaka Bwejuu. Kuna sehem inaitwa Pwani mchangani, Kiwengwa mpaka Matemwe. Mengine sijawah kufika
 
Nenda katafute maisha uarabuni na hivi ni mweusi.
Ndiyo utajua kuna waarabu, washia, wasuni na wale waliopokea uislamu (waafrika).
Watu ambao hawawezi kutengeneza simu, computer, tv, hata social media km Jamii forum hawawezi kuwa na akili za kuishi na watu.
Pale Zanzibar, mashekh wanatembea na mafimbo na marungu kupiga watu wanaokula hadharani kipindi cha ramadhani
 
Back
Top Bottom