Kijana unayetaka kuoa au mwenye mpenzi soma haya

Kijana unayetaka kuoa au mwenye mpenzi soma haya

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Vijana wengi siku hizi tumekuwa na makasiriko mengi kuhusu mahusiano. Mara nyingi kesi ikiwa ni usaliti. Sasa unapaswa kuelewa haya nitaanza na wanawake kisha nitafatia wanaume.
elewa kwamba.

1; Wanawake wengi Siku hizi wana wanaume wawili. Yaani waziri wa fedha na waziri wa ndani..

2;. Weekend hizi chips wanazokula wadada jua kuwa after that wanaenda kulipa fadhila kwa kuliwa kifo chake mende..

Point kubwa ni kuwa gharamikia wewe ili mpenzi wako asije lishwa chipsi na mtu mwengine..

3; Mwanamke akikwambia amekumic. Wewe tuma hela acha kumjibu eti mic you too.. Acha udwanzi wewe wajanja watatuma na ya kutolea.

4: Mapenzi bila pesa inawezekana lakini hayanogi . Yaani mnakuwa mnaishi kwa wasiwasi kama vile mnachemsha maziwa.

5: Kwa wale vijana wenye dem (pisi). Usimuulize huyo pisi wako "umekula"? Hayo wanaulizana wazungu hawa black mamba wetu hapo ndio utakuwa umefungua mlango wa kukutajia shida zote.

6: Unamwambia mwanamke eti umependeza na hugharamikii . Huoni aibu wewe ngedere?

7: Maneno ya kuitana baby sijui soulmate yamepitwa na wakati ikiwa hugharamikii. Siku hizi hata polisi wanatumia jina dear. Utaskia " my dear ur under arrest"

LA mwisho .
Ukiona unawaelewa wanawake ujue umeanza kufa.
 
Naona umeegemea tu upande wa wanawake ila kweny mada unasema umechambua na wanaume,badilisha maelezo ya hapo juu,ila la kuongezea tu,dem anaweza kutuma na ya kutolea ila akaisend kwa jamaa yake direct,na hawa unawaongeleaje?
Soma namba moja utaelewa .
Nilisema Uzi ujao kwa wanaume au sio
 
Asilimia kubwa ya ulichokiandika ni pesa tu

Sijui mnatuchukuliaje
Lakini kuna mistari imejaa ukweli sio? Unakuta hata yaliyomo hayajajulikana, tayari ushaambiwa mama anaumwa, sina smart phone, napenda ku-date na mtu mwenye maono atakayeniwezesha ili tuweze kusaidiana kwenye maisha....wakati anakueleza yote hayo, anakunywa Bailey's na Ribs BBQ inaandaliwa jikoni huko, siku ya kwanza hiyo.

Hata hivyo, ujasiri na maarifa ya kupiga mizinga ni somo mnalojifunzia wapi?
 
Wasichana wenye Mapenzi real wachache Sana nyakati hizi. Wengi after money... So imekuwa biashara? Yaan wewe kila mwanaume atayekutana naye ndio changamoto za pesa zinaibuka...
 
Back
Top Bottom