zagarinojo
JF-Expert Member
- Jul 26, 2020
- 2,622
- 2,846
Kufanikiwa kufanya nini tena mkuuKaa hapa kijana...taratibu tu utafanikiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kufanikiwa kufanya nini tena mkuuKaa hapa kijana...taratibu tu utafanikiwa
Kuna mahali nilikusoma umeikubali hii pisiKufanikiwa kufanya nini tena mkuu
Naomba no yake nimsalimie na kumpongeza kwa jinsi anavyojielewa mkuuMi nachofaamu mwanamke akikupenda hataki pesa yako sana . Nilikua na demu piace sana tulikutanaga tu club alikua na usafiri bi afsi mo sina ata toyo ila tukakaa counter story mbili tatu akatokea kunielewa na nilimpa Sikh ya kwanza 40 then akaniletea zawad ya shat na suruale na saa inamaana ile 40 kanirudishia kwa namna nyingine. Nikimpa ata 20 ya mafuta ananiambia siji kwako kwajili ya pesa nikaona niwe nampa zawad ata ya necklaces .
Nilikuja kugundua amezaa na kigogo mmoja anafanya kazi EAC maana kuna siku alikuja na gar yenye diplomatic number plate nilipombana sana akanifungukia . Niliamua kumuacha nisije Chezea risas zakichwa nishindwe kusubiri pilau la rungwe . Though kuna wanawake wanajielewacsana sema so wengi
Soma hapo namba moja ndo hii sasaMi nachofaamu mwanamke akikupenda hataki pesa yako sana . Nilikua na demu piace sana tulikutanaga tu club alikua na usafiri binafsi mi sina ata toyo ila tukakaa counter. Baada ya story mbili tatu akatokea kunielewa na nilimpa Siku ya kwanza elfu 40 then akaniletea zawad ya shat na suruale na saa inamaana ile 40 kanirudishia kwa namna nyingine. Nikimpa ata 20 ya mafuta ananiambia siji kwako kwajili ya pesa nikaona niwe nampa zawad ata ya necklaces .
Nilikuja kugundua amezaa na kigogo mmoja anafanya kazi EAC maana kuna siku alikuja na gar yenye diplomatic number plate nilipombana sana akanifungukia . Niliamua kumuacha nisije Chezea risas zakichwa nishindwe kusubiri pilau la rungwe . Though kuna wanawake wanajielewa sana sema so wengi sasa
Kwakweli nimezeeka.Relax my baby.
Labda umezeeka sana hii mbona inaeleweka?ni kwa rika lipi
😂😂😂😂 afu kweli.. Zote ni pesa... Vipi nawe ni "pisi" ama?Asilimia kubwa ya ulichokiandika ni pesa tu
Sijui mnatuchukuliaje
Asilimia kubwa ya ulichokiandika ni pesa tu
Sijui mnatuchukuliaje
Pesa pesa pesa ndio mnachopenda [emoji1][emoji1787]Asilimia kubwa ya ulichokiandika ni pesa tu
Sijui mnatuchukuliaje
Asilimia kubwa ya ulichokiandika ni pesa tu
Sijui mnatuchukuliaje
ww katoto utakuwa umezaliwa weekend unaakili sana
Nasubiria siku wanaume watakomboka na huu undezi tunajengewa......Wanaume tumejisahau sana hivi bila hawa wanawake maisha hayaendi kwani...? Punguzeni kujipendekeza
4.Vijana wengi siku hizi tumekuwa na makasiriko mengi kuhusu mahusiano. Mara nyingi kesi ikiwa ni usaliti. Sasa unapaswa kuelewa haya nitaanza na wanawake kisha nitafatia wanaume.
elewa kwamba.
1; Wanawake wengi Siku hizi wana wanaume wawili. Yaani waziri wa fedha na waziri wa ndani..
2;. Weekend hizi chips wanazokula wadada jua kuwa after that wanaenda kulipa fadhila kwa kuliwa kifo chake mende..
Point kubwa ni kuwa gharamikia wewe ili mpenzi wako asije lishwa chipsi na mtu mwengine..
3; Mwanamke akikwambia amekumic. Wewe tuma hela acha kumjibu eti mic you too.. Acha udwanzi wewe wajanja watatuma na ya kutolea.
4: Mapenzi bila pesa inawezekana lakini hayanogi . Yaani mnakuwa mnaishi kwa wasiwasi kama vile mnachemsha maziwa.
5: Kwa wale vijana wenye dem (pisi). Usimuulize huyo pisi wako "umekula"? Hayo wanaulizana wazungu hawa black mamba wetu hapo ndio utakuwa umefungua mlango wa kukutajia shida zote.
6: Unamwambia mwanamke eti umependeza na hugharamikii . Huoni aibu wewe ngedere?
7: Maneno ya kuitana baby sijui soulmate yamepitwa na wakati ikiwa hugharamikii. Siku hizi hata polisi wanatumia jina dear. Utaskia " my dear ur under arrest"
LA mwisho .
Ukiona unawaelewa wanawake ujue umeanza kufa.
Leo hujaleta ubishi cha ubishi?4.
Maana mnakuwa mnaishi kwa wasiwasi kama vile mmechemsha maziwa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2969].
Kwa kweli unasema kweli lakini utafanyaje?Nasubiria siku wanaume watakomboka na huu undezi tunajengewa......
Yaani pesa yangu ninayotafuta kwa shida, kutukanwa, kudharauliwa, kukejeliwa, na kutokwa jasho, mtu anataka nimpe akanunulie chips, akaseti nywele, sijui akapake rangi kucha all of that kwa malipo ya kulala nae tu ambayo pia mimi ndio nafanya kazi ya ziada yeye afuraie tena.....
Hii ni exploitation ya karne.....
Labda wapo huko vijijiniUkiwa na mtazamo huo utahonga sana mkuu, si wanawwke wote wako hivyo.
Mapenzi pesatuVijana wengi siku hizi tumekuwa na makasiriko mengi kuhusu mahusiano. Mara nyingi kesi ikiwa ni usaliti. Sasa unapaswa kuelewa haya nitaanza na wanawake kisha nitafatia wanaume.
elewa kwamba.
1; Wanawake wengi Siku hizi wana wanaume wawili. Yaani waziri wa fedha na waziri wa ndani..
2;. Weekend hizi chips wanazokula wadada jua kuwa after that wanaenda kulipa fadhila kwa kuliwa kifo chake mende..
Point kubwa ni kuwa gharamikia wewe ili mpenzi wako asije lishwa chipsi na mtu mwengine..
3; Mwanamke akikwambia amekumic. Wewe tuma hela acha kumjibu eti mic you too.. Acha udwanzi wewe wajanja watatuma na ya kutolea.
4: Mapenzi bila pesa inawezekana lakini hayanogi . Yaani mnakuwa mnaishi kwa wasiwasi kama vile mnachemsha maziwa.
5: Kwa wale vijana wenye dem (pisi). Usimuulize huyo pisi wako "umekula"? Hayo wanaulizana wazungu hawa black mamba wetu hapo ndio utakuwa umefungua mlango wa kukutajia shida zote.
6: Unamwambia mwanamke eti umependeza na hugharamikii . Huoni aibu wewe ngedere?
7: Maneno ya kuitana baby sijui soulmate yamepitwa na wakati ikiwa hugharamikii. Siku hizi hata polisi wanatumia jina dear. Utaskia " my dear ur under arrest"
LA mwisho .
Ukiona unawaelewa wanawake ujue umeanza kufa.