Kijana Usifanye Maisha na Aina hii ya Mwanamke!!

Kijana Usifanye Maisha na Aina hii ya Mwanamke!!

Eehhh lazima kila mmoja ajue alipo nisahihi.

Tatizo moja kubwa sana , wanawake mlipewa uwezo mkubwa sana wakumjua mwanaume, lkn bado mwanaume anawashinda.


Ndio maana huwa siandiki kwa sababu najua haiwasaidii bado.
Sio kweli,
Nnachojua wanawake wako smart Sana kumchagua yule wao wa future.

Ni Mara chache Sana uskie eti mdada kaolewa kafata 6packs,

ila Ni kawaida kuskia sisi wanaume jamaa kaoa Kisha mwanamke ana chura, sura au shape.

Wanawake always wanaangalia mbali
 
Andika bwana Carlos
Shunie ....., nitaandika tu 'Asomaye aelewe".


Ona mfano, Kuna Bidada wiki ilopita nilichukua namba yake, na nikamwambia ,Nina familia,nahitaji urafiki nawewe wakawaida yaan Kufuck na mengine .


Bidada alinitukana sana sana matusi ya mbwa koko.
Sikumjibu... Lkn nikawa namtext...Mwanamke mzuriii nmemis kuona unavyotembeaa vizuri..na blaah blaaah kibao...akawa hajibu.



Leo kanitafuta mwenyewe wasap ,yaan mahaba mahabani !!


SIWEZI KUMLAUMU WALA KUMUONA MJINGA,, NI KWA SABABU MIMI MWENYEWE NDIO NMEMFANYA ASAHAU KUA ALINIKATALIA MWANZO.


So kwenu nyie wanawake. Huwa hata MTU mmjue vipi, kama mkimwelewa mnamwelewa ivoivo regardless ya ukweli ALOKWAMBIA......HISIA !!!.
 
Shunie ....., nitaandika tu 'Asomaye aelewe".


Ona mfano, Kuna Bidada wiki ilopita nilichukua namba yake, na nikamwambia ,Nina familia,nahitaji urafiki nawewe wakawaida yaan Kufuck na mengine .


Bidada alinitukana sana sana matusi ya mbwa koko.
Sikumjibu... Lkn nikawa namtext...Mwanamke mzuriii nmemis kuona unavyotembeaa vizuri..na blaah blaaah kibao...akawa hajibu.



Leo kanitafuta mwenyewe wasap ,yaan mahaba mahabani !!


SIWEZI KUMLAUMU WALA KUMUONA MJINGA,, NI KWA SABABU MIMI MWENYEWE NDIO NMEMFANYA ASAHAU KUA ALINIKATALIA MWANZO.


So kwenu nyie wanawake. Huwa hata MTU mmjue vipi, kama mkimwelewa mnamwelewa ivoivo regardless ya ukweli ALOKWAMBIA......HISIA !!!.
Hawatakagi ukweli[emoji1787]
 
Back
Top Bottom