Kijana usiingie kwenye ndoa kwa tumaini la kusaidiana na mkeo kifedha

Kijana usiingie kwenye ndoa kwa tumaini la kusaidiana na mkeo kifedha

Covax

JF-Expert Member
Joined
Feb 15, 2021
Posts
10,198
Reaction score
35,323
Kabla hujaingia kwenye ndoa rasmi jiakikishe una uwezo wa kifedha kuhudumia familia yako na wazazi wako pamoja na wamke wako kwa kiasi, otherwise ukienda na matumaini ya kuchangiana na mwanamke wako utakua disappointed bure na kua frustrated unabadilika kua mdokozi tapali jizi kwenye mali ya mkeo, utajaa wivu fitna kwa pesa ya mkeo ambao sio yako.(chako ni chetu chakwangu ni changu tu) hiyo ndo formula ya wanawake.

Kiasilia sie wanaume kazi yetu ni ku-pambana na kuhudumia familia zetu bila kuangalia kipato cha mkeo, akiamua kuchangia bora ni vizuri ila naturally wanawake ni selfish raha wataka wapate wao tu sio wengine, kwahiyo bora kujiandae mapema hiyo hali ikifika ķwako usivunje ndoa yako au kulalamika au kua mwizi ndani ya familia, msaada wa mwana mke kwenye ndoa ni just bonus sio lazima wanaume tutafuteni pesa tuache Umario kutegemea vya bure.
 
Hahahah mkuu uko with negative thoughts kuhusu relationship na ndoa. Mwanamke sio mtu special kama unavyodhani, mlichopishana ni mindset na viungo vya uzazi tu.

Kuishi na mwanamke kama mke wako inataka akili na utu na heshima sana. She has to know you first na aweze ku adopt na mazingira yako. Sasa unaposema uoe ila usitegemee msaad toka kwa mke ile dhana ya mke kuwa msaidizi wako inakuwa haiko, unaoa ili iweje sasa?

Kama unaoa mke aje kuwa kama parasite huo ni uamuzi wako. Ambao wataoa wake wakijua maisha ni kupwa na kujaa kama bahari waache waoe wa aina hio. Mwanamke yuko wa kuendana na kila mtu.
 
Hahahah mkuu uko with negative thoughts kuhusu relationship na ndoa. Mwanamke sio mtu special kama unavyodhani, mlichopishana ni mindset na viungo vya uzazi tu.

Kuishi na mwanamke kama mke wako inataka akili na utu na heshima sana. She has to know you first na aweze ku adopt na mazingira yako. Sasa unaposema uoe ila usitegemee msaad toka kwa mke ile dhana ya mke kuwa msaidizi wako inakuwa haiko, unaoa ili iweje sasa?
Mkuu unafikiri msaada wa pesa sio kwa mwanamke, labda misaada mingine kama kazi za ndani kukutibu kukufulia hapo poa ila pesa zake mtapishana bure bora kujipanga kimind set mapema..........na pia women kisaikolojia nitofauti sanaa na wanaumme hatuwezi kufanana wanahitaji special handling ili uelewe vzr ntakipa mifano mingi
 
Back
Top Bottom