Kijana usiingie kwenye ndoa kwa tumaini la kusaidiana na mkeo kifedha

Kijana usiingie kwenye ndoa kwa tumaini la kusaidiana na mkeo kifedha

Mkuu unafikiri msaada wa pesa sio kwa mwanamke, labda misaada mingine kama kazi za ndani kukutibu kukufulia hapo poa ila pesa zake mtapishana bure bora kujipanga kimind set mapema..........na pia women kisaikolojia nitofauti sanaa na wanaumme hatuwezi kufanana wanahitaji special handling ili uelewe vzr ntakipa mifano mingi
Mkuu naelewa vizuri ila kwa jinsi maisha yalivyo sasa anything can happen. Una mke unaweza afford kumpeleka capetown fish market kila weekend, salon kali, gari ya kutembelea. We ni mchezaji wa kulipwa.

Siku moja umekosa kuwa re-signed inakubidi ukae mtaani uanze kutafta mkataba kwenye club nyengine. Yule mke mmekodi nyumba masaki, ashazoe raha once and for all.

How do you deal na hio situation, will you call it quits? Huna namna ya kuendelea ku afford gharama. How would you go about it? Hela ndio imekata unaskilizia msimu ujao huku ulichosave kinateketea tu.

Kitakachofata utajiingiza kwenye madeni tu na mwisho utaanza kulia lia kama mzee Yusuph.😂😂😂! Maisha yanend yakibadilika choose wisely. Kuna kuumwa, kuna kukosa kazi, kuna mambo mengi nje ya uwezo.

Mke yuko kwenye nafasi ya kusolve ila hafanyi hivyo. Would you be happy?
 
Ndoa ni vita ya kihisia na akili , amesema mdau hapo juu.

Hii vita anaeumia zaidi ni mwanaume , wanaume tunaumia sana kwenye mahusiano na ndoa kwa ujumla, tunaumia kihisia zaidi kiakili na kisaikolojia.

Bado hatujaweza kujua mwanamke ni nani na tufanyeje ili tuwe na furaha nae.

Mwanamke anaweza kukusababushia maumivu tokea siku ile ulipoanza kumpenda akiwa kwao, unajipa moyo akiwa kwangu hali itatulia labda, inaamua kumuoa na kuishi pamoja hapo unafunguka mlango mwingine wa maumivu na inakua ni maumivu muendelezo.

Wabarikiwe sana wanawake kwa kua wametufanya wengi wetu kuinuka na wengi wetu kuanguka.

Wabarikiwe sana wanawake kwa kua wametufanya wengi wetu kuwa fahari na wengi wetu kuwa wanyonge.

Kama kungekuwa na uwezekano wa kushauri watu wasioe ningeshauri kwa kweli.
 
Mmh mwanaume ukintatein huu uselfish wa wanawake kwamba chako chetu changu n changu..nakuapia utakufa mapema na mapressure na magonjwa mengn ya moyo...kama mshakua mwili mmoja ni jukumu la kila mmoja mme na mke kuchangia maendeleo ya famili pasi kutegeana.
Mkuu utakufa mapema ukitegemea pesa ya mkeo, tafuta ada ya watoto wako mapema ya kujenga nyumba tako nk, ndoa sio economic venture kati ya mke na mme la asha, ni kitu kingine tofauti wengi wanatafuta wanawake wenye mishahara ila mwishowi wamakua frustrated baada ya kukosa walicho tegemea kutoka kwa wake zao
 
Mkuu naelewa vizuri ila kwa jinsi maisha yalivyo sasa anything can happen. Una mke unaweza afford kumpeleka capetown fish market kila weekend, salon kali, gari ya kutembelea. We ni mchezaji wa kulipwa.

Siku moja umekosa kuwa re-signed inakubidi ukae mtaani uanze kutafta mkataba kwenye club nyengine. Yule mke mmekodi nyumba masaki, ashazoe raha once and for all.

How do you deal na hio situation, will you call it quits? Huna namna ya kuendelea ku afford gharama. How would you go about it? Hela ndio imekata unaskilizia msimu ujao huku ulichosave kinateketea tu.

Kitakachofata utajiingiza kwenye madeni tu na mwisho utaanza kulia lia kama mzee Yusuph.[emoji23][emoji23][emoji23]! Maisha yanend yakibadilika choose wisely. Kuna kuumwa, kuna kukosa kazi, kuna mambo mengi nje ya uwezo.

Mke yuko kwenye nafasi ya kusolve ila hafanyi hivyo. Would you be happy?
Hahaha mkuu 'never bite what you cant swallow' tafuta mke wa level yako, wakati hujampeleka mke kwenye sehemu nzuri za juu tafakali kwanza je nikikosa itakua je....... ukifikili kwamba atakusaidia yeye kwa pesa yake!!! Hiyo itakua 'own goal'
 
Unaweza ukawa na pesa ukaoa halafu issues zikajamba ukiwa ushaoa[emoji1787][emoji1787]

Maisha hayana formula hakuna aijuaye kesho yake

Mshukuru mungu Mambo yakienda biyee
Wengi inawatokeaga hii 😂😂😂 ikiwa mtu kashajitwisha slay queen teller wa access bank. Mara paahp bank wana downsize operations Mr.Othman umefyekwa. Unarudi kuanza mchakato wa applications upyaa.
 
Hahaha mkuu 'never bite what you cant swallow' tafuta mke wa level yako, wakati hujampeleka mke kwenye sehemu nzuri za juu tafakali kwanza je nikikosa itakua je....... ukifikili kwamba atakusaidia yeye kwa pesa yake!!! Hiyo itakua 'own goal'
Hamna anaeoa akitegemea atalost siku moja. Wote mnaoa mkiwaza mtazaa watoto na kulea freshi ila shetani naye yuko kazini kuwabomolea.
 
Hamna anaeoa akitegemea atalost siku moja. Wote mnaoa mkiwaza mtazaa watoto na kulea freshi ila shetani naye yuko kazini kuwabomolea.
Mkuu usithubutu kuoa kwa kutegemea au kujaribisha wanawake ni viumbe tafauti likija suala la pesa au raha zao, atakugeuka mchana kuepe, au kusimanga hawatiki kujua yalio pita eti uliwasaidia nk.
 
Mkuu usithubutu kuoa kwa kutegemea au kujaribisha wanawake ni viumbe tafauti likija suala la pesa au raha zao, atakugeuka mchana kuepe, au kusimanga hawatiki kujua yalio pita eti uliwasaidia nk.
Mie ntao mtu nayemuelewa kimwili na kiakili fullstop.
 
Wengi inawatokeaga hii [emoji23][emoji23][emoji23] ikiwa mtu kashajitwisha slay queen teller wa access bank. Mara paahp bank wana downsize operations Mr.Othman umefyekwa. Unarudi kuanza mchakato wa applications upyaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
sasa huku vijijini wanaishi vipi !.maana unakuta wanaishi vizuri kuliko nyie wa mjini
Kule mwanaume huwa mchapakazi sana shambani na huuza mazao na mifugo na kuingiza pesa

Hadi vijijini kwa sasa kidume kisicho na hela hakitakiwi hapendwi mtu huko pia
 
Mkuu Covax nina maswali kadhaa nahitaji kufahamu toka kwako:
1. Umeoa
2. Kama umeoa, una uzoefu wa miaka mingapi kwenye hiyo ndoa?
3. Kwa wakristo tunaamini ndoa ni kuwa mwili mmoja, wewe unaelewa nini katika hili?(kama nawe ni mkristo)
4. Mke ni msaidizi wa mume, katika hili unadhani mipaka ya usaidizi huo ni ipi?


Asante, nitafurahi ukinipa majibu kwa hayo maswali yangu.
 
Back
Top Bottom