Kijana usijaribu kumsaidia binti jambo lolote au kiasi chochote cha pesa kama huyo binti si ndugu yako

Kijana usijaribu kumsaidia binti jambo lolote au kiasi chochote cha pesa kama huyo binti si ndugu yako

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Kichwa cha habari kinahusika.
Ni nature ya Dunia wanawake ni watu wabinafsi, hasa hawa wadada.
Hawana cha kukupa zaidi ya UTI
Hawana shukrani

Wakikutana na msaada mwingine anaanza kuusahau msaada wako anaanza kumwazia yule wa pili, tatu n.k
Saidia wazazi wako au ndugu zako wa damu, huo ndio uwekezaji usiotia mashaka.

Utafiti unaonyesha kuwa karibu ndoa zote katika dunia ya 3 mwanamke anamdai pesa mume wake. Unashangaa baba ndiye mfanyakazi sasa hizi pesa mke anazomdai mume wake zimetoka wapi?
Ni kwamba mume humpa mke pesa bure hata laki 5, milioni n.k ila mke akimpa mume elfu 20 hiyo atamkopesha.

Kama si mke wako, dada yako, shangazi au mama yako usimpe pesa. Hata kama anataka kutoka roho usimpe.
 
Mama yako asingeomba hela za mboga toka kwa baba yako ingekuaje!??
Huna akili.
Mama yangu aliolewa 1970, ni miaka 54 sasa imepita. Alioa kwa mila zile za kale alimkuta maza hamjui mwanaume, alikaa ukweni miaka 2 akifanya kazi na kuchunguzwa tabia kama Yakobo ndipo akapewa mke.
Hawa naokula pesa wengi wao ni malaya
 
Kichwa cha habari kinahusika.
Ni nature ya Dunia wanawake ni watu wabinafsi, hasa hawa wadada.
Hawana cha kukupa zaidi ya UTI
Hawana shukrani
Wakikutana na msaada mwingine anaanza kuusahau msaada wako anaanza kumwazia yule wa pili, tatu n.k
Saidia wazazi wako au ndugu zako wa damu, huo ndio uwekezaji usiotia mashaka.
Utafiti unaonyesha kuwa karibu ndoa zote katika dunia ya 3 mwanamke anamdai pesa mume wake. Unashangaa baba ndiye mfanyakazi sasa hizi pesa mke anazomdai mume wake zimetoka wapi?
Ni kwamba mume humpa mke pesa bure hata laki 5, milioni n.k ila mke akimpa mume elfu 20 hiyo atamkopesha.
Kama si mke wako, dada yako , shangazi au mama yako usimpe pesa. Hata kama anataka kutoka roho usimpe.
Kabisa becoz ikiwa vice versa wao hawawezi kukusaidia kamwe. Mwanamke hawezi kukusaidia pesa hapa duniani. Mwanaume kaa ukielewa hili
 
Kichwa cha habari kinahusika.
Ni nature ya Dunia wanawake ni watu wabinafsi, hasa hawa wadada.
Hawana cha kukupa zaidi ya UTI
Hawana shukrani
Wakikutana na msaada mwingine anaanza kuusahau msaada wako anaanza kumwazia yule wa pili, tatu n.k
Saidia wazazi wako au ndugu zako wa damu, huo ndio uwekezaji usiotia mashaka.
Utafiti unaonyesha kuwa karibu ndoa zote katika dunia ya 3 mwanamke anamdai pesa mume wake. Unashangaa baba ndiye mfanyakazi sasa hizi pesa mke anazomdai mume wake zimetoka wapi?
Ni kwamba mume humpa mke pesa bure hata laki 5, milioni n.k ila mke akimpa mume elfu 20 hiyo atamkopesha.
Kama si mke wako, dada yako , shangazi au mama yako usimpe pesa. Hata kama anataka kutoka roho usimpe.
Mi mwenyeye jana kuna mmoja kanipandia hewani kajilizaliza weweeee,nimemsikiliza weeeeee,nimemuitikia halafu alivyokata simu tu block alilopigwa sio la nchi hiiiiiii
 
Huna akili .
Mama yangu aliolewa 1970, ni miaka 54 sasa imepita. Alioa kwa mila zile za kale alimkuta maza hamjui mwanaume, alikaa ukweni miaka 2 akifanya kazi na kuchunguzwa tabia kama Yakobo ndipo akapewa mke.
Hawa naokula pesa wengi wao ni malaya
Nani alikusimulia kwamba kipindi hicho maza alikuwa hajawahi?
 
Kama unakaa kusubiri fadhila ni bora usisaidie yoyote. Hata hao ndugu zako ambao unawaona ni wa maana sana leo hii huenda wakakupiga tukio vile vile ubaki unatoa macho. Binadamu ni yule yule bila kuangalia upo nae vipi.
 
Back
Top Bottom