Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Confession umeulizwa humu je umewai kula mbususu hujajibu Hilo swali
We
Is it an unfinished word or sentence
What do you mean guy

Ilikosewa.

sasa sijui tukuite nan kaka au dada lakini kwa vyovyote pole na hongera kwa elimu uliyoitoa/unayoitoa kutuasa hasa sisi vijana na kizazi chetu kijacho kuhusu haya mambo na namna gani ya kuwaepuka wale wote tunaowaamini sana kuwa viongozi wetu wa kiroho na kimwili

God bless TANZANIA
God bless AFRICA
#pinga ushoga na unyanyasaji wa kijinsia
 
Unafiki umewajaa, bila aibu wanasema wanawake kuingiliwa kinyume ni sawa maana lile tundu lina jina tofauti likiwa kwa mwanamke na pia linakuwa tofauti likiwa kwa mwanaume.! UNAFIKI UNAFIKI UNAFIKI
 
Ulitaka kugundua nini zaidi na mtu ulishamuona ni shoga?? Kwann uendeleze convo? Acha ugaigai bana.!
 
Solution ni wanaume kuacha kuwaingilia wanawake na wanaume na watoto. Hii kusema malezi sio solution sababu huyo mtoto hutokuwa naye muda wote na wewe hutoishi duniani muda wote.!!
 
A



Kaaribu jina langu huyo shetani
 
Nakubaliana nawe mkuu ๐Ÿค, kuna jamaa alikua na muonekano wa kike hapo ilikuwa shule moja ya boarding kuna njemba ikamfuata bafuni issue ilileta ugomvi sana. Yule pimbi utetezi wake eti alivyoona muonekano wa kike akajua ni shoga.
Ilitakiwa alivyomfuata chooni, yeye ndio amvue ubingwa. Wapuuzi kama hao ni wa kuwatoa meno kabisa.
 
Unafiki umewajaa, bila aibu wanasema wanawake kuingiliwa kinyume ni sawa maana lile tundu lina jina tofauti likiwa kwa mwanamke na pia linakuwa tofauti likiwa kwa mwanaume.! UNAFIKI UNAFIKI UNAFIKI
Washenzi sana Hawa watu unafki umewajaa tu humu
 
Ulitaka kugundua nini zaidi na mtu ulishamuona ni shoga?? Kwann uendeleze convo? Acha ugaigai bana.!
Kwani akiwa anamuingilia Mwajuma kinyume na maumbile hua anataka kugundua nini? Zaidi zaidi ni upotofu wake tu
 
Naona umelenga tu wa kiume, vp wanawake waachie wapigwe lenta?
 
Why apende kukaa na nyie while hampo like him ir why awe mnyonge mkiongelea such issues, do you know his story !. Do you think ni rahisi kwake!. I'm gay na sifanyi sex for money but reading this thread at this time of the night imeniumiza a lot
Mkuu,
Ulisema unajitahidi sana kuacha u-gay, umefikia wapi? Naamini hata wewe hupendi sema ndio ulishaingia huko na kutoka sio rahisi sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ