Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Confession umeulizwa humu je umewai kula mbususu hujajibu Hilo swali
We
Is it an unfinished word or sentence
What do you mean guy

Ilikosewa.

sasa sijui tukuite nan kaka au dada lakini kwa vyovyote pole na hongera kwa elimu uliyoitoa/unayoitoa kutuasa hasa sisi vijana na kizazi chetu kijacho kuhusu haya mambo na namna gani ya kuwaepuka wale wote tunaowaamini sana kuwa viongozi wetu wa kiroho na kimwili

God bless TANZANIA
God bless AFRICA
#pinga ushoga na unyanyasaji wa kijinsia
 
Wanawaingilia Wanawake nyuma hio kwao wanaona ni sahihi kabisa yaan Mwanamke kuingiliwa nyuma ni halali na ni haki yake hivi inaiingia akilini hio? Yaan mtu anaingia kule kule anapokaa hadharani na kuwakataza watu wasiingie eti kisa huku ni kwa Mwanamke na huku ni kwa Mwanaume yaan wanaona kwamba nyuma kwa Mwanamke kuingia ni sawa kabisa na ni haki yao kumuingilia Mwanamke kinyume Ila hapa wanajifanya kwamba ooh hii sio sawa sasa nawauliza mboni unamuingia Mwanamke kinyume na maumbile km kweli wewe hukubariani na hili Jambo unalolipinga? Unapomuingilia Mwanamke maana yake na Wewe unakubari unachopingana nacho
Unafiki umewajaa, bila aibu wanasema wanawake kuingiliwa kinyume ni sawa maana lile tundu lina jina tofauti likiwa kwa mwanamke na pia linakuwa tofauti likiwa kwa mwanaume.! UNAFIKI UNAFIKI UNAFIKI
 
Hahaha siko interested ningekua interested nisingeweka hapa ningebaki tu kimya na mwali wangu, nawambiaje ili mjue sasa?

Siwezi weka naweka for reason,ukiona naweka screenshot n sababu ya comment ilopta imenfanya niweke.a

Sina show off ya ungedere kama huo... Siwezi mchana mtu na maisha yake mimk.

Mimi sio shehe wala padri wala mchungaji ukiharibikiwa mbele yangu napita hiviii as long as n akili yako imekutuma.

Sio mtoa risala mimi, uza Tigo ni yako, fanya umalaya ni wako, mimi najiridhisha tu na tabia yako then napita hivi sitiiii neno.

Yeye anatoa JICHO ni dhambi yake kaikubali na mimi nina dhambi zangu kibao nafanya siwezi muona eti yeye ana dhambi saanaaaa nianze muhubiriaaa.

Najikataaa kimya kimya nafanya maisha yangu kila.mtu atajibu mashtaka yake mbele ya safari.
Ulitaka kugundua nini zaidi na mtu ulishamuona ni shoga?? Kwann uendeleze convo? Acha ugaigai bana.!
 
Na ndio maana tunaambiwa siku hizi wazazi tusiwaamini ndugu wa karibu kuwaacha na watoto hata wageni tunaambiwa wasilale na watoto ni kwaajili ya haya mambo. Kila mzazi awe macho kujuwa mtoto yupo wapi na anafanya nini. Hii ya kutokea baba kabaka itokee tu lakini mzazi uwe umetimiza jukumu lako la malezi. Hata baba ndani ya nyumba usimuwamini sana kukaa na watoto ndani mda mrefu bila kujuwa anafanya nini dunia imeharibika. Kila Familia ikiwa inachukua hizo tahadhari hivyo vitendo vitapunguwa au kuisha kabisa . Tusijiwekee vikwazo kwenye kutafuta ufumbuzi wa hili tatizo.
Solution ni wanaume kuacha kuwaingilia wanawake na wanaume na watoto. Hii kusema malezi sio solution sababu huyo mtoto hutokuwa naye muda wote na wewe hutoishi duniani muda wote.!!
 
A
View attachment 3029631

Hili dogo nili likuta dukani home, nilienda nunua kitu.

Akaniona akaniuliza Bro una duka k.koo nikamwambia HAPANA, lakini maduka unayo nmeskia, nikamwambia NDIO.

Sasa Bro naomba nisaidie nipate kazi sina kazi yoyote, nikamwambia mimi kazi kwangu sina labda nikiskia nitakushtua.

Akaniomba namba nikampa (sikujua kama ni shoga mpka hapo)

Balaa likaanza alipoanza nitext, nikamuuliza kwa uzuri ili nijue kwanza kama anaweza nifaa..

Nikamuuliza Unaweza kitu gani au uko vizuri kwenye nini, uzoefu wako? Ndio majibu aloninibu hayo hapo juu kwa screenshot.

Tuliyoendelea kuchat walahi ni hatari maana nilikua nahisi NAOTA nikawa nataka nihakikishe kweli au si kweli nikawa nampa MADA hizo yaniii nayeye anajaaa.

Mwisho wa siku hili kenge likataka lije ndani linipikie chakula cha usiku..


Oyaaa bandugu zangu dunia imefika ze end ze ova...




Kaaribu jina langu huyo shetani
 
Nakubaliana nawe mkuu 🤝, kuna jamaa alikua na muonekano wa kike hapo ilikuwa shule moja ya boarding kuna njemba ikamfuata bafuni issue ilileta ugomvi sana. Yule pimbi utetezi wake eti alivyoona muonekano wa kike akajua ni shoga.
Ilitakiwa alivyomfuata chooni, yeye ndio amvue ubingwa. Wapuuzi kama hao ni wa kuwatoa meno kabisa.
 
Unafiki umewajaa, bila aibu wanasema wanawake kuingiliwa kinyume ni sawa maana lile tundu lina jina tofauti likiwa kwa mwanamke na pia linakuwa tofauti likiwa kwa mwanaume.! UNAFIKI UNAFIKI UNAFIKI
Washenzi sana Hawa watu unafki umewajaa tu humu
 
Ulitaka kugundua nini zaidi na mtu ulishamuona ni shoga?? Kwann uendeleze convo? Acha ugaigai bana.!
Kwani akiwa anamuingilia Mwajuma kinyume na maumbile hua anataka kugundua nini? Zaidi zaidi ni upotofu wake tu
 
Kijana wa kiume usishawishike hata upewe mamilioni ya pesa usikubali kuuza utu wako. Unapewa kilema cha maisha bila kujua.

MADHARA

1. Uwezekano wa kupata UKIMWI na magonjwa mengine ya Ngono ni mkubwa (michubuko) maana sehemu ya haja kubwa haikuandaliwa kupitisha mizigo mikubwa na bongo vilainishi marufuku.


2. Ukipata matatizo, hospitali za bongo utaambulia matusi na kunangwa huku unaoza,

3. Hao mabazazi watakuchekea wakufumue Tu hawana muda na wewe wakishakuharibu,

4. Nawajua vijana kadhaa kwa sasa inabid wavae diapers kuzuia haja kutoka bila taarifa.

5. Mmoja anaomba michango akatibiwe India, waliokua wanampapasa wanamkimbia. Michango tunaombwa watu Baki. Sio fair!
Naona umelenga tu wa kiume, vp wanawake waachie wapigwe lenta?
 
Why apende kukaa na nyie while hampo like him ir why awe mnyonge mkiongelea such issues, do you know his story !. Do you think ni rahisi kwake!. I'm gay na sifanyi sex for money but reading this thread at this time of the night imeniumiza a lot
Mkuu,
Ulisema unajitahidi sana kuacha u-gay, umefikia wapi? Naamini hata wewe hupendi sema ndio ulishaingia huko na kutoka sio rahisi sana.
 
Back
Top Bottom