Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Kwahiyo mzee baba kwa 10m unaachia 👁️????
Dah million sijawahi shika mtuu anipe million kumi na chukuwa kwani marinda kitu gani ya kunyimana jameni...ukinyima binadamu funza watafaidi 🤣🤣🤣🤣
 
Huna ubingwa mzee. Lindaless😀😃😄😁 ndio maana unapendaga sana kuongelea papuchi kumbe unajificha kwenye kivuli chako.
Wewee bwana mbususu na linda sio vitu vya kunyimana...usipoliea na binadamu vitaliwa na funza tuu
 
Wanaume nowdays wamekubwa na shetani gani cijui au cjui kwavile wao hawazai wala kubeba mimba aseee I am a mother na zinapokuja issue za homosexuality, urawiti NAUMIA SANA SANASANA HUWA NAMUOMBA MUNGU TU ALINDE WATOTO WETU DHIDI YA HUU UKATILI
MAOMBI NA KUFUNGA KUNAHITAJIKA SANA KUNUSURU VIZAZI VYETU.
 
All
In all HATUPASWI KUONEA HURUMA WAHALIFU COZ ILIBIDI WAONE HURUMA KWA WATENDEWA ,jamii IELIMISHWE ZAIDI kuondoa hz janjajanja za kijinga.
 
Ni kweli mademu siku hizi wanatoa sana zamani ilikuwa lazima uombe tena kwa kubembeleza na kutoa ahadi kubwa kubwa ili kupitishwa huko lakini siku hizi wenyewe wanatoa password hadi raha.
Sasa mnasakama mashoga kwanini? Wapo wanaotaka vinyeo vya me na sio Ke, uhuru ni wao.
 
Vijana wa sasa hata ukimpa elf 20 tu
Dhamana anaweka Tigo

Kule telegram ndo kumechafuka
Kuna group Lao linaitwa pamoko nishawah shika simu ya dogo mmoja hiv alikuwa anacheza mpira


Yaan ni sodoma wanaombana bila wasi
Nawee uko huko, unajistukia tyuuh hapa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lol
 
Shoga hasa msenge kwenda sehemu za starehe za umma, inanikeraa yaan ni wanajichoreshaaa tyuuh aaaah.
 
Reactions: Tsh
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…