Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Njoo dm mende nipo hapa
 
Sasa huyo huenda ana historia iliyomfanya akaishia huko. Aidha alibakwa au alipitia manyanyaso utotoni kwa muda mrefu bila watu kujua au kuwa karibu nae.... Na kadhalika, kwahiyo Jitahidini mjue story yake, huenda alishaathirika kisaikolojia dhidi ya Aliyofanyiwaga mpaka yakampelekea kuishia huko.

Sio hawa wengine vijana wa mjini wasio na akili wanaishia kufirwa kwa kupenda vya bure na maisha mazuri ya haraka. Kenge hawa!
 
Yamemkuta nn DC wa ubungo
 
Tupe namba tuna maduka kariakoo hayana watuπŸ˜…πŸ€£
 
Huyu ww ndio unamtengenezea mazingira baada ya ahadi feki tupe namba tumsaidie .
Ww jamaaa unafanya jinai na hujui akikudai pesa ya udhalilishaji mahakamani hutoboi
 
Ww ndio unafanya ukatili na yeye hajui Sheria ungelipa mabillion
 
ILA UKWELI MASHOGA WA EAC WAHAMIE ULAYA TUUUU HUKU WANAKUJAGA KUFA NA MATATIZO YA AKILI NA MISONGO YA MAWAZO UKIMWI wakiwa na 20s. Na 30s
 
Kwani wewe sio msenge?
Kuwa makini na kauli zako na namna unavyokuwa ukimjibu kila mtu humu. Hizi anonymous ID zisikudanganye... Hakukuwa na haja ya kukufata PM kukutahadharisha na kukuonya kuhusu hili.

Shauri yako 😊😊😊
 
Unaonekana umezaliwa familia bora wewe,na huwa mnashida sana plus muonekano mzuri kama unavyosifia.walaumiwe wazazi wako kwa kukupa malezi mabovu.
I hope you won't pass through the same sh*t with your kids cause no baby on earth deserves to live the way I lived so i can't wish it on anyone,
Endelea with your pride and ego cause i'm sure hujui what survival means as I do kwa hiyo endelea with your stereotypes cause I don't care
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…