Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Aisee...ila shida mwaharamu unajikuta million 10 unatoa jicho tuu. Maisha yenyewe ndio haya haya kula raha duniani...huko kwengine hatujui
Milioni 10? Masihara hayo hio mishoga hata elf 5 tuh unayala ni majinga mapumbavu nshawai lisikia lishoga likiongea na cm na baasha Ake akilalamika anamcheat fala mpk analia .alaf alikua ni rafik wa girl Wang ,akat naendelea kushangaa naona girl Wang anamfariji ety atapata mwingine aachane naye huyo bwana ,,,ilibid niachane na girl Wang ili wafarijiane vizur .
 
Saying a guy who can't stay 3 months straight without having sex
You guys why do you always think kuwa gay issue ni nyepesi while you have never been gays yourselves
With all the stigma and public crucification. Nani angetaka kuwa gay,
Imagine the lame reasons you always use kusema ohhh men hawawezi kuwa na girl mmoja
Imagine if you can't satisfy your sexual desires kwa same woman or much less masturbation or anal sex, what makes you think it's easy for another person kuacha sexual acts zinazompa fullfillment completely
?

1000011185.jpg
 
Aisee kumbe ndio inakuwa hivyo mazee ni ukoo mzima....ila hizi nadharia za waafrica wana sijui kwa nini kwangu zinakuwa na ukakasi🤣🤣🤣🤣
Anyways yote maisha, million kumi wengine hatujui lini takuja kuigusa kwa kweli maana ajira mtihani kweli kweli
Hiyo haijustify kufilwa mkuu, kuna mtu laki moja hajuwi lini atakuja kushika. Na yeye afilwe?
 
Why apende kukaa na nyie while hampo like him ir why awe mnyonge mkiongelea such issues, do you know his story !. Do you think ni rahisi kwake!. I'm gay na sifanyi sex for money but reading this thread at this time of the night imeniumiza a lot
Ona kama haka kalivokua sensitive ukute kamelia chumban weee ,,
Asa wewe utamu wa papuchi huujui au uliona wanawake wanafaidi xnaa
 
Tuseme umegundua kua baba yako mzazi ni GAY. au Kaka.yako.wa kuzaliwa tumbo moja ni GAY, au kijana wako wa kumzaa ni GAY...
embu niambie process au namna ambayo utafanya na naamin una watoto, au kama.huna utakuja tu kua nao...lazima...embu niambie boss namna utakavyo handle situation..
Unajua namna mnavyotaka hili jambo lionekane ni la kawaida hapo ndipo tunapopishana. Wengi wa vijana kwa sasa wanatumika kuingia kwenye huo mtandao kwa tamaa ya fedha hasa wanaotumika na mashirika ya nje hasa marekani ili kuibadili jamii yetu hii si sawa hata kidogo. Haya ni mambo ambayo hayakuzoeleka kabisa na sasa wapo watu wanaotaka jamii yetu izoee hapana aise .
 
Hii ni very rare 1 in 1000 huwezi ichukua hii kama sababu na huwa aanafanyiwa operation kuacha jinsi moja inayoonekana ina nguvu. Don't try to push the Agenda
So gays ni 1000 kwa 1000 or and I'm not a gay activist and I'm not here to push any agenda, if I'm hitting your insecurity, fear or rage button that's on you john
 
Lakini still ni mwanaume. Huyu anajikiza tu na kutaka kuonewa huruma. Kuruhusu kupigwa pipe ndio kosa lake na kataka mwenyewe aache kujiliza na kusema alikuwa ana muonekano wa kike na kuhukumiwa. Wangapi wanahukumiwa ila hawaruhusu kupigwa pipe au kufanya kwa kile wanachohukumiwa na jamii.
Nakubaliana nawe mkuu 🤝, kuna jamaa alikua na muonekano wa kike hapo ilikuwa shule moja ya boarding kuna njemba ikamfuata bafuni issue ilileta ugomvi sana. Yule pimbi utetezi wake eti alivyoona muonekano wa kike akajua ni shoga.
 
Back
Top Bottom