Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

Yaan siku hizi kila baada ya muda lazima ije story ya Gays, sio mtandaoni hata huku mtaani, Gayism imekua ndo trending issues.

Kwani nani hajui faida na hasara zake? Kinachokera mtu mzima akiyeamua kutumia mwili wake kwa namna inayo mfaa yeye binafsi, afu wanakuja watu wengine kuanza kumzonga na kumnangaa.

Kila mtu atalinda mwili wake, afu huwa mnakataza kwa kiume tyuuh, vipi hawa kike? Siku hizi wanagawa kinyeo km hawana akili nzuri na ishakua fashion, ndo hao walaji wakikosa kwa ke, wanahamia kwa me, wengine wanavuka mipaka na kulawitii watoto wadogoo wasio na hatia, mxxxxxxiiiiiiieeeeeew.

Acheni UNAFIKIII.
Umesema nani hajui faida na hasara zake, unaweza kunielezea faida zake?? Hata moja tu.
 
"You're the average of the five people you spend the most time with". Kama unawajua mashoga ni swala la muda tu na wewe kuliwa anza kujiandaa.
You are very smart and hata wasikuhangaishe cause most of these dudes ni homophobic publicly but behind the scenes wanajua what they always do.
I know most straight dudes hata habari with gays hawana but these creatures living in denial huact very homophobic as a cover up
 
hivi kuna watu huwa wana zaliwa na muonekano huo outomatic...sikuwa nalijua hilo aisee kuna mmoja sehemu ukipiga nae picha huwezi dhania kuwa ni gay. ni mzuri kama mwanamke na ametakata vibaya mno shepu anayo na anajua kupangilia mavazi ya kikike yaka mkaa vyema...! huyu ninae mzungumzia usipo mfahamu na yeye asipo kwambia jinsia yake moja kwa moja unaweza kudhani ni mwanamke..!​
Some people wanazaliwa na jinsia mbili
Don't you think this one is easier
 
Demokrasia inakupeni uhuru wa kifala sana, eti I didn't know anything about sexuality! Mtu unaona kabisa una li-penis lako linaning'inia halafu unasema hujuwi jinsia yako. Watoto wadogo tu huku mitaani of 6 to 7 years age they know they are damn MEEEN,You guys ni mmeamua tu kuwa blind kujifanya hamuoni utofauti.
Kama wewe eti unasema "I was feminine boy" eti ndo unatumia hii kama fact kujustify uchoko. Kizazi cha nyoka sana hiki.
one day ungewajua most gays in suits sijui ungefanyaje cause most of you guys think all gays ni james delicious type
Gays in closet wapo everywhere and I can assure you hauwaepuki
So toa nyongo yako on me as much as you can but that's the reality
 
Lakini still ni mwanaume. Huyu anajikiza tu na kutaka kuonewa huruma. Kuruhusu kupigwa pipe ndio kosa lake na kataka mwenyewe aache kujiliza na kusema alikuwa ana muonekano wa kike na kuhukumiwa. Wangapi wanahukumiwa ila hawaruhusu kupigwa pipe au kufanya kwa kile wanachohukumiwa na jamii.
Hata mimi nimejiuliza hili swali ukishazaliwa na muonekano wa kike inabidi utafute wanaume wenzako uwavulie boxer uiname kisha wakuingizie uume mk*nd*ni!!?? Yaani unajustify kuzaliwa na muonekano wa kike kwa kuinama na kumpanulia mwanaume mwenzako makalio!!??

Basi hata wanawake waliozaliwa na muonekano wa kiume wasifanywe, wasiolewe na wala wasizae. Weak defense!! Na kuna watu kama huyo cocastic na wengine wanatetea huu upuuzi.
 
Aseee!
Wadogo zangu pambaneni sana kumamake, mtu milioni kumi anafilika humu. Kama wewe unafilika kwa milioni kumi huwezi kumkataza mtoto wako wa kiume naye kufilika kwa milioni kumi, nayeye hatomkataza mwanae kufilika kwa milioni kumi, yani kizazi chako ni mwendo wa kufilika tu mpaka atokee wa kujielewa uko mbele kumaliza iyo cycle ni kufilika tu
Disgusting muppets 🤢!
Aisee kumbe ndio inakuwa hivyo mazee ni ukoo mzima....ila hizi nadharia za waafrica wana sijui kwa nini kwangu zinakuwa na ukakasi🤣🤣🤣🤣
Anyways yote maisha, million kumi wengine hatujui lini takuja kuigusa kwa kweli maana ajira mtihani kweli kweli
 
Mtu mwenyewe kaamua kuliwa sasa utafanyaje. Hili swala linazidi kukomaa miaka michache ijayo kila man atakuwa na man wake maadamu Serikali imeshashindwa, wakigusa kidogo tu haki za binadamu wananyoosha makucha basi wacha wainamishane
Vilevile mnajisahaulisha sana mnapozungumzia hawa watu huwa hamuwazungumzii mabasha zao sijui wanajifil* wenyewe hawa ama lah hapo mnaniacha hewani

Mtu anajifanya shehe au kasisi kumbe anakula vitoto vya kiume, wengine wamelawitiwa kwa nguvu wakiwa wadogo hili ni swala mtambuka
Ukianza kulifuatilia utasokomeza watu wengi sana jela, makasisi na mashehe, waalimu, ndugu za waathirika watajaa magereza
Do you know why ushoga unakua kwa kasi, it's simple
Most men who sleep with gays hawafanywi chochote and most of them wako unknown while those who are known wanachukuliwa very normal but trust me, these people huwaingiza so many innocent boys kwa tamaa zao. I know our society haipo ready to have this kind of conversation and I'm done for today
 
Back
Top Bottom